Yanga mabingwa Kombe la Muungano 2025

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Mei Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba Maxi Nzengeli ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa Yanga ushindi huo dakika ya 45 akimalizia pasi ya Farid Mussa. Kwa kutwaa ubingwa…

Read More

BEGASHE MFANYAKAZI HODARI MALIASILI 2024/2025

 ……………. Na Yusufu Kayanda Afisa Uhusiano Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Sixmund Begashe, amesema heshima kubwa aliyoipata ya kutangazwa kuwa Mtumishi Hodari wa Wizara ya Maliasili na Utalii ni heshima kwa wanahabari wote nchini, pamoja na watumishi wote wa wizara hiyo kutokana na ushirikiano mzuri waliouonesha katika kuufahamisha umma kuhusu matokeo chanya…

Read More

Sababu dawa kukosekana hospitalini hii hapa

Tabora. Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji wa Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, Peter Sungusia ametaja sababu za kukosekana kwa baadhi ya dawa katika vituo vya kutolea huduma. Akizungumza na watumishi wa vituo vya kutolea huduma za afya leo Alhamis mjini Tabora leo Mei Mosi, 2025, Sungusia amesema sababu kubwa ni kushindwa kufanya maoteo…

Read More

Askofu Shoo: Waliomshambulia Dk Kitima hawaitakii mema nchi

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima akisema ni tukio baya. “Tukio la kushambuliwa kwa Dk Kitima linashtusha, linasikitisha na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote na Watanzania. Yeyote aliyetenda unyama…

Read More

CCM yalaani shambulio la Dk Kitima, yatoa maelekezo

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeshtushwa na taarifa za kushambuliwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima. Kutokana na tukio hilo, CCM imetoa wito kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi wa kina na haraka ili kuwabaini na kuwachukulia hatua kali wahusika wa tukio hilo. Dk Kitima ambaye amelezwa…

Read More

WATUMISHI WA TCAA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI

 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wafanyakazi wengine duniani kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), ambayo kwa mwaka huu yameadhimishwa kitaifa katika Mkoa wa Singida, yakiongozwa na Mgeni Rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maadhimisho hayo yamebeba kauli mbiu…

Read More