Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 1, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 1
Michezo

Yanga yakwaa kisiki CAS, TPLB kutangaza ratiba mpya ya ligi punde

May 1, 2025 Admin

MAKAHAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeitupa rufani ya Klabu ya Yanga iliyofungua dhidi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Yanga iliwasilisha CAS

Read More
Michezo

Yanga mabingwa Kombe la Muungano 2025

May 1, 2025 Admin

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo

Read More
Habari

KATA YA MABOGINI YAPOKEA ZAIDI YA BILIONI 1.8 KWA AJILI YA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA.

May 1, 2025 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI KATA ya Mabogini imepokea kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.  Hospitali hii ni ya

Read More
Habari

FANI YA KEMIA NA WAKEMIA WANA MCHANGO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

May 1, 2025 Admin

  Na: Calvin Gwabara – Morogoro. Utafiti uliofanywa jijini Dar es salaam na maeneo mengine ya dunia umeonesha kuwa kuwahusisha wanafunzi kwenye shughuli mbalimbali na

Read More
Habari

BEGASHE MFANYAKAZI HODARI MALIASILI 2024/2025

May 1, 2025 Admin

 ……………. Na Yusufu Kayanda Afisa Uhusiano Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Sixmund Begashe, amesema heshima kubwa aliyoipata ya kutangazwa kuwa Mtumishi Hodari

Read More
Habari

Sababu dawa kukosekana hospitalini hii hapa

May 1, 2025 Admin

Tabora. Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji wa Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, Peter Sungusia ametaja sababu za kukosekana kwa baadhi ya dawa katika

Read More
Habari

Askofu Shoo: Waliomshambulia Dk Kitima hawaitakii mema nchi

May 1, 2025 Admin

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la

Read More
Habari

CCM yalaani shambulio la Dk Kitima, yatoa maelekezo

May 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeshtushwa na taarifa za kushambuliwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima. Kutokana

Read More
Habari

WATUMISHI WA TCAA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI

May 1, 2025 Admin

 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wafanyakazi wengine duniani kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), ambayo

Read More
Habari

TUME YATAKA WANANCHI KUTAZAMA DAFTARI LA AWALI,KUHAKIKI TAARIFA ZAO

May 1, 2025 Admin

Home byTorch Media –May 01, 2025 0 *****************  Na. Mwandishi wetu, IringaTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wananchi kutoka katika mikoa 15 ya Tanzania

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.