MAKAHAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeitupa rufani ya Klabu ya Yanga iliyofungua dhidi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Yanga iliwasilisha CAS
Day: May 1, 2025

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo

NA WILLIUM PAUL, MOSHI KATA ya Mabogini imepokea kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya. Hospitali hii ni ya
Na: Calvin Gwabara – Morogoro. Utafiti uliofanywa jijini Dar es salaam na maeneo mengine ya dunia umeonesha kuwa kuwahusisha wanafunzi kwenye shughuli mbalimbali na

……………. Na Yusufu Kayanda Afisa Uhusiano Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Sixmund Begashe, amesema heshima kubwa aliyoipata ya kutangazwa kuwa Mtumishi Hodari

Tabora. Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji wa Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, Peter Sungusia ametaja sababu za kukosekana kwa baadhi ya dawa katika

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeshtushwa na taarifa za kushambuliwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima. Kutokana

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wafanyakazi wengine duniani kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), ambayo
Home byTorch Media –May 01, 2025 0 ***************** Na. Mwandishi wetu, IringaTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wananchi kutoka katika mikoa 15 ya Tanzania