Kampeni ya kuhimiza Mahakama ya Haki za Binadamu ya Amerika ya Kati ya Kuchukua Viwango vya Mkataba wa Escazú katika maoni yake ya ushauri juu
Day: May 2, 2025

Dodoma, 2 Mei 2025 –MALAWI imetangaza rasmi kuondoa marufuku ya uagizaji wa mazao ya mimea kutoka Tanzania, hatua inayofungua ukurasa mpya katika uhusiano wa kibiashara

Tanzania Yaondoa Marufuku ya Kibiashara kwa Malawi, Yafungua Milango ya Ushirikiano Mpya wa Kiuchumi
Dodoma, 2 Mei 2025 – Tanzania imetangaza rasmi kuondoa marufuku ya uagizaji wa mazao ya mimea kutoka Malawi, hatua inayofungua ukurasa mpya katika uhusiano wa

Geita. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imemhukumu Majid Badru, Mtemi wa Sungusungu, kifungo cha miaka minane jela baada ya kukiri kumuua bila kukusudia Adil

Na WAF – Handeni, Tanga Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amewataka wamiliki wa vyuo vya afya nchini kudahili idadi ya wanafunzi kulingana na uwezo

Mwanza. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kujiimarisha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, baada ya kupokea wanachama wapya 170 kutoka vyama vya upinzani. Wanachama hao

:::::: Hadi Aprili, 2025 EWURA ilitoa jumla vibali nane (8) kwa ajili ya ujenzi wa mabomba ya kupeleka gesi asilia kwenye vituo vya CNG. Vibali

Dar es Salaam. Maabara Kuu ya Hospitali ya Muhimbili imetunukiwa cheti cha ithibati ya ubora, kitakachodumu kwa miaka mingine mitano. Faida za kupata ithibati hiyo

Dar es Salaam. Wanazuoni wameainisha mambo matano muhimu yanayopaswa kuzingatiwa ili kufanikisha upatikanaji wa uhuru kamili wa kitaaluma kwa wasomi na taasisi za elimu ya