WINGA wa Fountain Gate, Salum Kihimbwa amesema licha ya msimu mbaya akishindwa kufikia lengo la kufunga mabao 10 na asisti 10 kama alivyokuwa amepanda awali, lakini kwa mechi tatu zilizobaki kabla ya Ligi Kuu kufikia tamati, amepania kufanya kitu ili asimalize kinyonge.
