BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na jana Ijumaa iliikaribisha Mwembe Makumbi inayoongoza msimamo wa ligi hiyo.

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na jana Ijumaa iliikaribisha Mwembe Makumbi inayoongoza msimamo wa ligi hiyo.