MNUFAIKA UKIHITIMU MASOMO, LIPA MKOPO WAKO KWA WAKATI

:::::::::: Na Dk. Reubeni Lumbagala  SERIKALI kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawajibika kupokea maombi ya mikopo na kutoa mikopo kwa waombaji waliokidhi vigezo vilivyowekwa. Bodi ya Mikopo ambayo sasa imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, hadi Februari 2025, HESLB inajivunia kutoa takribani shilingi trilioni 8.2 kwa waombaji…

Read More

Serikali yamalizia mchakato kuifanya NEMC kuwa mamlaka

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya kisheria ili kulibadilisha Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka kamili itakayokuwa na nguvu zaidi katika kushughulikia changamoto mbalimbali za mazingira nchini Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi, Mei 3, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa…

Read More

Hapi aishauri TK Movements kuanza uzalishaji

Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amewashauri Mtandao wa Vijana wa Taifa Letu Kesho Yetu (TK Movements) kuungana na kuchangishana ili kuanzisha miradi itakayowawezesha kupata kipato na kukuza uchumi wao. Mtandao huo ulizinduliwa Mei 25, 2024 na Naibu Spika wa Bunge, Musa Zungu, ambaye aliwasihi vijana kujiandikisha katika daftari la…

Read More