Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 3, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 3
Magazeti

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MEI 4, 2025

May 3, 2025 Admin

           

Read More
Habari

MNUFAIKA UKIHITIMU MASOMO, LIPA MKOPO WAKO KWA WAKATI

May 3, 2025 Admin

:::::::::: Na Dk. Reubeni Lumbagala  SERIKALI kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawajibika kupokea maombi ya mikopo na kutoa mikopo

Read More
Habari

KAMPUNI 2476 ZA WAZAWA ZASAJILIWA KUTOA HUDUMA MIRADI YA MAFUTA NA GESI ASILIA

May 3, 2025 Admin

 :::::::::::: Kufikia Aprili 2025, jumla ya kampuni za wazawa 2,476 na wataalam wazawa 431 wamejisajili katika mfumo huo ambapo Kampuni 300 zimepata fursa za kuuza

Read More
Habari

Serikali yamalizia mchakato kuifanya NEMC kuwa mamlaka

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya kisheria ili kulibadilisha Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)

Read More
Habari

TaCRI yapata aina tatu mpya za Arabika zitakazokabiliana na ukame

May 3, 2025 Admin

Moshi. Taasisi ya utafiti wa Kahawa nchini (TaCRI) imegundua aina mpya tatu za kahawa aina ya Arabika yenye uwezo wa kuvumilia hali ya ukame, ikiwa

Read More
Habari

Wabunge: Kilimo ikolojia suluhisho kwa mabadiliko ya tabianchi

May 3, 2025 Admin

Dodoma. Wadau wa sekta ya kilimo nchini, wakiwemo wabunge, wakulima na taasisi zisizo za kiserikali, wametoa wito kwa Serikali kuongeza uwekezaji katika kilimo ikolojia, wakisisitiza

Read More
Habari

Hapi aishauri TK Movements kuanza uzalishaji

May 3, 2025 Admin

Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amewashauri Mtandao wa Vijana wa Taifa Letu Kesho Yetu (TK Movements) kuungana na kuchangishana

Read More
Habari

RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KULETA SERIKALI KWA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO – MHE. MCHENGERWA

May 3, 2025 Admin

Na John Mapepele Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu

Read More
Habari

RPC Mbeya aonya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu, awapa neno vijana

May 3, 2025 Admin

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewataka vijana kutumia michezo kama sehemu ya kuhamasisha amani na utulivu katika kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, huku

Read More
Habari

RWEBANGIRA AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

May 3, 2025 Admin

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya kujitokea na kufika kwenye vituo vya kujiandikisha

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.