NAHODHA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema hajawahi kupata presha kubwa kama anayokutana nayo sasa akiwa benchini katika majukumu ya umeneja, tofauti na kipindi alichokuwa anacheza uwanjani.

NAHODHA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema hajawahi kupata presha kubwa kama anayokutana nayo sasa akiwa benchini katika majukumu ya umeneja, tofauti na kipindi alichokuwa anacheza uwanjani.