Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 4, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 4
Magazeti

MAGAZETI YA LEO JUMatatu MEI 5, 2025

May 4, 2025 Admin

                      

Read More
Habari

VIBALI SITA VYATOLEWA USAMBAZAJI GESI ASILIA VIWANDANI, TAASISI

May 4, 2025 Admin

::::::::::::: Hadi Aprili, 2025 EWURA ilitoa vibali sita (6) vya ujenzi wa mabomba ya kupeleka gesi asilia kwenye viwanda, taasisi, migahawa ya chakula na majumbani. 

Read More
Habari

TANZANIA KUMILIKI TEKNOLOJIA YA VIUATILIFU HAI KUTOKA CUBA

May 4, 2025 Admin

             ::::::::: TANZANIA na Cuba zimesaini mkataba wa kuhamisha teknolojia ya utengenzaji wa Viuatilifu Hai (Biolarvicides) kwa ajili ya kutokomeza

Read More
Habari

MFAHAMU TORONTO; KIJANA ANAYEANDIKA HISTORIA YA MAENDELEO KUPITIA CCM SONGEA

May 4, 2025 Admin

*Ni msomi wa elimu ya juu aliyoipata Canada na sasa ameamua kupiga Kambi Ruvuma  *Mkakati wake ni kuchangia maendeleo ya Jamii, kukuza thamani ya CCM

Read More
Habari

BARABARA KOROFI YA MABOGINI – KAHE KUJENGWA KWA LAMI- MHE MCHENGERWA

May 4, 2025 Admin

Na John Mapepele -Moshi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amekagua uharibifu wa barabara ya Spencon- Fongagate- Mabogini- Chekereni hadi

Read More
Habari

Rais Ruto apigwa na kiatu akihutubia, watatu watiwa mbaroni

May 4, 2025 Admin

Migori. Katika hali isiyo ya kawaida, Rais wa Kenya, William Ruto, amejikuta akipigwa na kiatu mkononi kilichorushwa kutoka kwenye umati wa watu aliokuwa akiwahutubia katika

Read More
Habari

Moto, uvamizi watishia urithi wa dunia nchini

May 4, 2025 Admin

Serengeti. Majanga ya moto na uvamizi wa watu katika maeneo ya hifadhi za Taifa yameendelea kuwa tishio kwa maeneo ya urithi wa dunia na vituo

Read More
Habari

Polisi kuchunguza tuhuma askari kuhusishwa kupotea kwa mdude

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza kuchunguza tuhuma za kuhusika kwa askari katika tukio la kupotea kwa mwanaharakati na kada wa Chadema, Mdude Nyagali

Read More
Habari

TEC: Shambulio la Padri Kitima linagusa maeneo matatu

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema shambulio dhidi ya Katibu wa Baraza hilo, Padri Charles Kitima, licha ya kumuumiza yeye, pia

Read More
Habari

KIDATO CHA SITA KUANZA MITIHANI KESHO, MAANDALIZI YAMEKAMILIKA

May 4, 2025 Admin

           :::::::::: HABARI Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha Sita na Ualimu inayotarajiwa kuanza Kesho

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.