TANZANIA KUMILIKI TEKNOLOJIA YA VIUATILIFU HAI KUTOKA CUBA

             ::::::::: TANZANIA na Cuba zimesaini mkataba wa kuhamisha teknolojia ya utengenzaji wa Viuatilifu Hai (Biolarvicides) kwa ajili ya kutokomeza ugonjwa wa malaria na wadudu waharibifu wa mazao ya kilimo. Mkataba huo umesainiwa baina ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kupitia Kampuni tanzu ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL)…

Read More

Moto, uvamizi watishia urithi wa dunia nchini

Serengeti. Majanga ya moto na uvamizi wa watu katika maeneo ya hifadhi za Taifa yameendelea kuwa tishio kwa maeneo ya urithi wa dunia na vituo vya urithi wa Taifa hapa nchini. Wataalamu wanataka hatua za haraka kuchukuliwa ili kuyalinda maeneo hayo dhidi ya uharibifu wa kudumu. Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Stephano Msumi…

Read More

TEC: Shambulio la Padri Kitima linagusa maeneo matatu

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema shambulio dhidi ya Katibu wa Baraza hilo, Padri Charles Kitima, licha ya kumuumiza yeye, pia baraza hilo limeshambuliwa na heshima ya Taifa imejeruhiwa. Kauli hiyo imetolewa katika salamu za TEC zilizotolewa na Makamu wa Rais wa Baraza hilo, Askofu Eusebius Nzigilwa leo Jumapili Mei 4,…

Read More