Vatican. Mchakato wa kumchagua Papa mpya wa Kanisa Katoliki umeanza rasmi lakini bila mafanikio, baada ya moshi mweusi kufuka kutoka bomba la moshi la Kanisa
Day: May 7, 2025

MVOMERO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amepiga goti kuwaomba wananchi wa Mvomero kumruhusu

Moshi. Mambo yanazidi kuchemka, ndivyo unaweza kuelezea kile kinachoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya chama hicho kumsimamisha Katibu wake wa

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Chapo, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 7 hadi 9 Mei, 2025 kufuatia

Dar es Salaam. Wadau wa sekta mbalimbali wameeleza maoni tofauti kuhusu ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma, lililotangazwa na Rais

Mkurugenzi wa Udhibiti huduma za usafiri majini TASAC Nelson Mlalali akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wa Ukusanyaji na Utawanyaji wa Shehena jijini Dar es

…… Chama Cha Mapinduzi kimepokea Kwa huzuni na masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha mmoja na viongozi waandamizi nchini,Mzee Cleopa David Msuya kilichotokea leo

Tabora. Ushirikiano baina ya polisi na wananchi umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha ulinzi na usalama wa jamii. Akizungumza leo Jumatano, Mei 7, 2025, Mkuu

Songea. Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Ruvuma, Nicodemas Mwakilembe, amekabidhi gari aina ya Isuzu kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma,