Ngoma bado ngumu kumpata Papa mpya, moshi mweusi wafuka

Vatican. Mchakato wa kumchagua Papa mpya wa Kanisa Katoliki umeanza rasmi lakini bila mafanikio, baada ya moshi mweusi kufuka kutoka bomba la moshi la Kanisa la Sistine usiku huu kuamkia Alhamisi, Mei 8, 2025. Tukio hilo linaashiria kuwa awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyofanyika Jumatano jioni haikufanikisha kumpata papa atakayerithi nafasi iliyoachwa na Papa…

Read More

MAKALLA APIGA GOTI AKIOMBA KUTOGOMBEA UBUNGE MVOMERO

MVOMERO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amepiga goti kuwaomba wananchi wa Mvomero kumruhusu kutogombea tena jimbo hilo na kuwaomba wamruhusu aendelee na jukumu alilonalo la Uenezi. Makalla ameeleza hayo leo Mei 7,2025 wakati akizungumza na wananchi katika eneo la Turiani Wilaya ya Mvomero…

Read More

RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KITAIFA

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Chapo, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 7 hadi 9 Mei, 2025 kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, Mheshimiwa Chapo amelakiwa…

Read More

Maoni ya wadau nyongeza ya mshahara, kodi na elimu zatajwa

Dar es Salaam. Wadau wa sekta mbalimbali wameeleza maoni tofauti kuhusu ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma, lililotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Ongezeko hili la asilimia 35.1, ambalo litaanza kutumika Julai mwaka huu 2025, linatarajiwa kuleta mabadiliko katika maisha ya watumishi wa umma, huku wengine wakiunga mkono hatua hiyo…

Read More

‘Polisi imarisheni ushirikiano na Jamii’

Tabora. Ushirikiano baina ya polisi na wananchi umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha ulinzi na usalama wa jamii. Akizungumza leo Jumatano, Mei 7, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora amesema Jeshi la Polisi linapaswa kuendelea kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia misingi ya sheria ili kuhakikisha utoaji…

Read More