BAADA ya kuipa pointi tatu Simba kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania, kiungo Fabrice Ngoma amesema ubora anaouonesha ni kuhakisha timu hiyo inatwaa mataji yote matatu wanayoshiriki.

BAADA ya kuipa pointi tatu Simba kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania, kiungo Fabrice Ngoma amesema ubora anaouonesha ni kuhakisha timu hiyo inatwaa mataji yote matatu wanayoshiriki.