Magenge yenye silaha yanapanua udhibiti wao katika Idara ya Kituo cha Haiti – Maswala ya Ulimwenguni

Risasi kubwa ya tovuti hiyo kwa watu waliohamishwa walioshikiliwa katika Shule ya Marie-Jeanne huko Port-au-Prince, ambapo watu 7,000 wanaishi katika hali ya kuzidiwa na ya kukata tamaa, wakitafuta usalama wakati wa vurugu zinazoendelea za silaha huko Haiti. Mikopo: UNICEF/Patrice Noel na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Mei 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Hotuba ya kwanza ya Papa Leo wa XIV

Vatican City. Papa Leo wa XIV ametoa hotuba yake ya kwanza akiwa Papa kwa kutumia lugha ya Kiitaliano na Kihispania. Baada ya maneno yake ya kwanza, “amani iwe nanyi nyote,” aliendelea na ujumbe wa mshikamano na maelewano. “Ndugu na dada wapendwa, huu ndio mwamko wa kwanza wa Kristo aliyefufuka. “Ningependa kutoa salamu za amani ziwafikie…

Read More

Mfahamu Papa mpya kutoka Marekani

Papa Leo XIV alikuwa mwanachama wa Shirika la Mtakatifu Augustine, ambaye anaelezwa kufanana kimatendo na Papa Francis katika kujitolea kwa maskini na wahamiaji, pamoja na juhudi za kuwafikia watu mahali walipo. Kabla ya kifo cha Papa Francis, Papa Leo XIV (Kardinali Prevost) alishika mojawapo ya nyadhifa zenye ushawishi mkubwa ndani ya Vatican, akiiongoza ofisi inayohusika…

Read More

KAMPUNI YA MAMBA MINERALS KUANZA UJENZI WA MGODI WA MADINI ADIMU DISEMBA 2025 KWENYE KIJIJI CHA NGWALA-SONGWE

▪️Ni mgodi wa uchimbaji wa madini adimu(Rare Earth Elements) ▪️Uzalishaji wa kwanza ni mwaka 2026 mwishoni ▪️Kiwanda cha Kusafisha Madini na kuongeza thamani madini kujengwa Songwe ▪️Rais Samia apongenzwa mazingira wezeshi ya uwekezaji Dodoma Kampuni ya Mamba Minerals Ltd yenye Leseni ya uchimbaji Madini adimu (Rate Earth Elements) imesema itaanza ujenzi rasmi wa Mgodi huo…

Read More

Heche awashukia G55, adai wamefika bei, Mrema ajibu mapigo

Karagwe. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amewashukia waliokuwa makada wa chama hicho waliotangaza kujivua uanachama akidai wamefika bei. Akihutubia mikutano ya hadhara ya kampeni ya No reforms, no elections kwa nyakati tofauti katika Wilaya za Kyerwa na Karagwe leo Alhamisi, Mei 8, 2025 Heche amesema baadhi ya makada hao…

Read More

Wabunge walia na madeni ya makandarasi, bili za maji

Dodoma. Kilio cha taasisi za umma kulimbikiza madeni ya huduma za maji na madai ya makandarasi kimezua mjadala bungeni wakati wa kujadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Awali, akiwasilisha maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Jackson Kiswaga,…

Read More

Marais wampongeza Papa mpya | Mwananchi

Washington. Marais Donald Trump wa Marekani na Volodymyr Zelensky wa Ukraine wamempongeza Papa mpya, Leo wa XIV, kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani. Rais wa Marekani, Donald Trump, alieleza furaha yake kubwa kupitia mtandao wa Truth Social, akimpongeza Kardinali Robert Francis Prevost kwa kuchaguliwa kuwa Papa. Trump alisema: “Hongera kwa Kardinali…

Read More