Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Polisi Dodoma wakanusha kumkamata Katibu wa Chadema kanda ya kati

    3 hours ago
  • 2025 ulivyoshuhudia vigogo wakijiondoa | Mwananchi

    3 hours ago
  • Meya ‘Shetta’ kuja na goli la Meya

    3 hours ago
  • Mpogolo avutiwa mabadiliko jina jipya chemba ya biashara

    4 hours ago
  • WAZIRI KOMBO ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AFRIKA NA URUSI NCHINI MISRI

    4 hours ago
  • Ikanga Speed anatupia tu DR Congo

    5 hours ago
  • Home
  • 2025
  • May
  • 9
  • WAZIRI AWESO ATANGAZA KIFO CHA MDOGO WAKE
  • Habari

WAZIRI AWESO ATANGAZA KIFO CHA MDOGO WAKE

Admin8 months ago01 mins
45

…….

Waziri wa Maji ambaye ni Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Alli Aweso (Babu Ali) kilichotokea Dodoma leo asubuhi wakati waziri akihitimisha bajeti ya wizara ya maji.

Mazishi yatafanyika Sakura Pangani.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.Amin

 

Post navigation

Previous: Padri Felician Nkwera afariki dunia
Next: Wabunge CCM wamuangukia Makalla wakidai barabara

Related News

Polisi Dodoma wakanusha kumkamata Katibu wa Chadema kanda ya kati

Admin3 hours ago 0

2025 ulivyoshuhudia vigogo wakijiondoa | Mwananchi

Admin3 hours ago 0

Mpogolo avutiwa mabadiliko jina jipya chemba ya biashara

Admin4 hours ago 0

WAZIRI KOMBO ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AFRIKA NA URUSI NCHINI MISRI

Admin4 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo