Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 11, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 11
Habari

Kigogo wa CUF atimkia ACT Wazalendo

May 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu,

Read More
Habari

Waongoza watalii mguu sawa kuelekea msimu mpya wa utalii 

May 11, 2025 Admin

Arusha. Wanachama wa umoja wa waongoza watalii nchini (TTGA), wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuuanza msimu mpya wa utalii unaotarajia kuanza Juni mwaka huu.

Read More
Habari

‘Dola sifuri ifikie mwisho Tabora’

May 11, 2025 Admin

Tabora. Wakulima wa tumbaku mkoani Tabora wameelezea malalamiko yao kuhusu bei ya ‘dola sifuri’ katika mauzo ya zao hilo, hali inayowasababishia hasara kubwa.  Wanasema iwapo

Read More
Habari

Anne Makinda akumbuka maisha ya Msuya, mkewe 

May 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Nguvu ya baba nafikiri ilitokana na nguvu ya Mama! Ni kauli ya aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda akiyaelezea maisha ya

Read More
Habari

Balozi Makenga awataka wajasiriamali kujiongeza | Mwananchi

May 11, 2025 Admin

Guangzhou, China. Wakati Serikali ikiendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini, taasisi zake nazo zinatoa ushirikiano kwa sekta binafsi baada ya ubalozi mdogo mjini

Read More
Magazeti

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MEI 12, 2025

May 11, 2025 Admin

                                

Read More
Habari

Chadema bado bundi kaweka Kambi, wengine 80 wajitoa

May 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Safari ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufungasha virago ndani ya chama hicho na kusaka majukwaa mengine ya kufanya

Read More
Habari

BALOZI NCHIMBI ATETA NA OTHMAN MASOUD OTHMAN

May 11, 2025 Admin

***** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia

Read More
Habari

Wenza waliohukumiwa miaka 20 jela waibwaga Serikali, waachiwa huru

May 11, 2025 Admin

Arusha. Wamejinasua. Hili ndilo neno linaloweza kuelezea namna wanandoa Ayubu Mfaume na Pilly Mohamed walivyoponea chupu chupu kutupwa jela miaka 20 baada ya kukutwa na

Read More
Habari

HAWA NDIYO WALIKUWA MIONGONI MWA MARAFIKI WA CHARLES HILARY

May 11, 2025 Admin

Hawa sasa ndiyo walikuwa marafiki wakubwaa wa Mzee Charles Hilary.  Abou Lyiongo, Ahmed Kipozi kakosekana hapo Jlius Nyaisanga, Majura na Mzee Tido Mhando japo Tido

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.