Kigogo wa CUF atimkia ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu, Msaidizi wa Katibu Mkuu, Mjumbe wa Mkutano Mkuu na baraza kuu, Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Wananchi (CUF) taifa, Iddy Mkanza. Hayo yanajiri wakati katika uga wa siasa nchini…

Read More

Waongoza watalii mguu sawa kuelekea msimu mpya wa utalii 

Arusha. Wanachama wa umoja wa waongoza watalii nchini (TTGA), wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuuanza msimu mpya wa utalii unaotarajia kuanza Juni mwaka huu. Wanachama hao ambao wamekutana leo Jumapili Mei 11, 2025, miongoni mwa mambo waliyojadili ni pamoja na changamoto za msimu uliopita na wamewasilisha changamoto zao kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,…

Read More

‘Dola sifuri ifikie mwisho Tabora’

Tabora. Wakulima wa tumbaku mkoani Tabora wameelezea malalamiko yao kuhusu bei ya ‘dola sifuri’ katika mauzo ya zao hilo, hali inayowasababishia hasara kubwa.  Wanasema iwapo tumbaku itaendelea kuuzwa kwa Sh800 hadi Sh1,000 kwa kilo moja, wataendelea kupata hasara.Akizungumza leo Mei 11, 2025, wakati wa hafla ya jukwaa la pili la maendeleo ya ushirika mkoani Tabora…

Read More

Anne Makinda akumbuka maisha ya Msuya, mkewe 

Dar es Salaam. Nguvu ya baba nafikiri ilitokana na nguvu ya Mama! Ni kauli ya aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda akiyaelezea maisha ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza Rais, Cleopa Msuya. Makinda ambaye amebainisha kuwahi kuishi jirani na kiongozi huyo na familia yake eneo la Seaview ameyaelezea maisha ya Msuya…

Read More

Balozi Makenga awataka wajasiriamali kujiongeza | Mwananchi

Guangzhou, China. Wakati Serikali ikiendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini, taasisi zake nazo zinatoa ushirikiano kwa sekta binafsi baada ya ubalozi mdogo mjini Guangzhou nchini China pamoja na ofisi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kuwapokea wateja 36 wa Benki ya CRDB waliokwenda kushiriki Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Canton yanayoendelea nchini…

Read More

Chadema bado bundi kaweka Kambi, wengine 80 wajitoa

Dar es Salaam. Safari ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufungasha virago ndani ya chama hicho na kusaka majukwaa mengine ya kufanya siasa zao, imeungwa mkono na kundi lingine la makada 80 wa Mkoa wa kichama wa Temeke jijini Dar es Salaam. Idadi hiyo ya waliotangaza kukihama chama hicho, inafanya jumla ya…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATETA NA OTHMAN MASOUD OTHMAN

***** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, walipokutana Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, wakati wa utoaji heshima za mwisho, kumuaga Hayati Mzee Cleopa David…

Read More

HAWA NDIYO WALIKUWA MIONGONI MWA MARAFIKI WA CHARLES HILARY

Hawa sasa ndiyo walikuwa marafiki wakubwaa wa Mzee Charles Hilary.  Abou Lyiongo, Ahmed Kipozi kakosekana hapo Jlius Nyaisanga, Majura na Mzee Tido Mhando japo Tido nafikiri alikuwa mkubwa kwao sana na Abou alikuwa mdogo wao.  Wote walianzia RTD kisha wote kwa nyakati tofauti walienda nje watatu BBC, Tido, Charlesna Majura yy aliripoti kutokea Dar.  Kipozi…

Read More