Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu,
Day: May 11, 2025

Arusha. Wanachama wa umoja wa waongoza watalii nchini (TTGA), wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuuanza msimu mpya wa utalii unaotarajia kuanza Juni mwaka huu.

Tabora. Wakulima wa tumbaku mkoani Tabora wameelezea malalamiko yao kuhusu bei ya ‘dola sifuri’ katika mauzo ya zao hilo, hali inayowasababishia hasara kubwa. Wanasema iwapo

Dar es Salaam. Nguvu ya baba nafikiri ilitokana na nguvu ya Mama! Ni kauli ya aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda akiyaelezea maisha ya

Guangzhou, China. Wakati Serikali ikiendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini, taasisi zake nazo zinatoa ushirikiano kwa sekta binafsi baada ya ubalozi mdogo mjini

Dar es Salaam. Safari ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufungasha virago ndani ya chama hicho na kusaka majukwaa mengine ya kufanya

***** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia

Arusha. Wamejinasua. Hili ndilo neno linaloweza kuelezea namna wanandoa Ayubu Mfaume na Pilly Mohamed walivyoponea chupu chupu kutupwa jela miaka 20 baada ya kukutwa na

Hawa sasa ndiyo walikuwa marafiki wakubwaa wa Mzee Charles Hilary. Abou Lyiongo, Ahmed Kipozi kakosekana hapo Jlius Nyaisanga, Majura na Mzee Tido Mhando japo Tido