VIWANGO VYA UJENZI WA SHULE ZA SERIKALI KUREJESHA UBORA

*NCC kuhakikisha vinadhibiti utoro, hasara kwa matengenezo ya kila wakati Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), lililo chini ya Wizara ya Ujenzi, imetekeleza ahadi yake kwa kuhakikisha viwango na viwango msawazo vya ujenzi bora wa majengo ya shule zake za awali, amali na sekondari vinaandaliwa, ili sekta husika ya elimu…

Read More

Njaa ya njaa kwa mtu mmoja kati ya watano, sema wataalam wa usalama wa chakula – maswala ya ulimwengu

“Bidhaa muhimu kwa maisha ya watu zimekamilika au zinatarajiwa kumalizika katika wiki zijazo …Idadi yote inakabiliwa na viwango vya juu vya ukosefu wa usalama wa chakula, “ilisema jukwaa la Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC). Katika sasisho lake la hivi karibuni, IPC ilikadiria kuwa mtu mmoja kati ya watano huko Gaza – 500,000…

Read More

Watishia kuchoma shule kisa kukataliwa mahafali

Tabora. Wahitimu wa kidato cha sita zaidi ya 130 katika Shule ya Sekondari Milambo, iliyopo mkoani Tabora wametakiwa kuondoka shuleni hapo haraka baada ya kumaliza mitihani yao, kutokana na tishio la kuchoma shule hiyo. Agizo hilo limetolewa  leo Mei 12, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha akiwataka kuondoka shuleni hapo chini ya…

Read More

Waitara alia na walimu wa lugha

Dodoma. Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara amesema kuna changamoto ya walimu waliobobea kwenye ufundishaji wa mtalaa mpya kwa sababu wengi waliopo wanauelewa mdogo. Waitara alikuwa akichangia mkadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2025/26 bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu Mei 12, 2025. Makadirio hayo yamewasilishwa na…

Read More