MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, William Thobias amesema haikuwa bahati mbaya kwa timu hiyo kurejea Ligi Kuu, baada ya kushuka msimu wa 2022-2023, kutokana na maandalizi na mikakati bora iliyofanywa na viongozi wa kikosi hicho.

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, William Thobias amesema haikuwa bahati mbaya kwa timu hiyo kurejea Ligi Kuu, baada ya kushuka msimu wa 2022-2023, kutokana na maandalizi na mikakati bora iliyofanywa na viongozi wa kikosi hicho.