Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 14, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 14
Kimataifa

Nusu ya mashirika ya wanawake katika maeneo ya shida kufungwa kwa hatari ndani ya miezi sita – maswala ya ulimwengu

May 14, 2025 Admin

Karibu na nchi 73, watu milioni 308 sasa wanategemea misaada ya kibinadamu – idadi ambayo inaendelea kuongezeka. Wanawake na wasichana wameathiriwa vibaya na misiba hii,

Read More
Habari

Mawakili wa Lissu waja na jipya usikilizaji wa kesi

May 14, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mawakili wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu wanapanga kuiandikia barua Mahakama kuomba shauri likasikilizwe Chuo cha Sheria

Read More
Kimataifa

Charles Hilary azikwa kwao Zanzibar, wadau wamlilia

May 14, 2025 Admin

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika

Read More
Habari

Korti yatupilia mbali rufaa ya mhasibu dhidi ya jirani yake

May 14, 2025 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Songea, imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Auleria Ngowi dhidi ya jirani yake, Pendo Lwema. Mahakama ya Mwanzo Songea ilimtia

Read More
Habari

Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi

May 14, 2025 Admin

Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025, ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren Toft, Afisa

Read More
Kimataifa

Wakati wa takataka za choki, wenyeji wanajiunga na mikono ili kujenga bali-taka-taka-maswala ya ulimwengu

May 14, 2025 Admin

Takataka za kikaboni zikipatikana katika kituo cha usimamizi wa taka zinazoongozwa na jamii katika kijiji cha Sesdan cha Gianyar Regency, Bali. Mikopo: Stella Paul/IPS na

Read More
Habari

RAIS MWINYI ASHIRIKI MAZIKO YA CHARLES HILARY

May 14, 2025 Admin

:::::::: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt.Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki katika maziko ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu

Read More
Habari

JESHI LA POLISI MWANZA LAPOKEA MAGARI MATANO KWA AJILI YA DORIA NA KAZI NYINGINE

May 14, 2025 Admin

******   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Wilbrod Mutafugwa, amekabidhi magari matano aina ya Toyota Land Cruiser kwa wakuu

Read More
Habari

‘VIWANGO VYA UJENZI WA SHULE ZA SERIKALI KUREJESHA UBORA’

May 14, 2025 Admin

… …………….. NCC kuhakikisha vinadhibiti utoro, hasara kwa matengenezo ya kila wakati SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), lililo chini ya Wizara ya

Read More
Habari

SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA UMEME KWENYE MAENEO YA KIMKAKATI – KAPINGA

May 14, 2025 Admin

***** Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.