Utamu wa Ligi Kuu Bara sasa umebaki hapa


WAKATI Kagera Sugar ikiungana na KenGold kwenda kucheza Ligi ya Championship, kwa sasa Ligi Kuu Bara presha imebaki kwa timu tisa kujitetea kukwepa hatua ya mchujo (play- offs) ya kushuka daraja, huku makocha wakichora ramani namna ya kumaliza dakika 180.

Related Posts