
May 17, 2025


Kilichoiua Simba Morocco hiki hapa, yapewa nondo za kuibeba nyumbani
MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba umemalizika nchini Morocco kwa wenyeji kushinda 2-0, hivyo kwa sasa ni kuuendea wa marudiano utakaochezwa Tanzania, Jumapili ijayo huku yakibainika mambo matatu yaliyoigharimu timu hiyo. Simba inayosaka ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza,…

SIMBA SC HOI MBELE YA RS BERKANE, MATUMAINI YAPO NYUMBANI
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Simba imeshindwa kufurukuta ugenini dhidi ya wapinzani wao RS Berkane baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kwenye mchezo wa kwanza wa fainali Kombe la Shirikisho Afrika (1st leg). Katika mchezo huo timu ya RS Berkane ilionekana kuhitaji mabao mengi kwa haraka ambapo walifanikiwa kwa dakika 15 za…

Fountain yagomea mechi baada ya kuchapwa 3-0 kipindi cha kwanza
MCHEZO wa Ligi Kuu Soka Wanawake kati ya JKT Queens dhidi ya Fountain Gate Princess uliofanyika leo Jumamosi Mei 17,2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, umeshindwa kuendelea kipindi cha pili. Hadi kipindi cha kwanza kinamalizika, wenyeji JKT Queens walikuwa mbele kwa mabao 3-0 yaliyofungwa na Anastazia Katunzi, Jamila Rajabu na Stumai Abdalah….

CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI
:::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya Viwanda vilivyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kubaini kuwepo kwa ukwepaji mkubwa wa Kodi unaofanywa na wamiliki wa Viwanda hivyo. Akiwa katika kiwanda cha kuzalisha viatu vya…

‘Serikali inachukua hatua ripoti za CAG’
Mwanza. Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imewataka wananchi na wadau wa maendeleo nchini Tanzania kujenga utamaduni wa kusoma ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa mapendekezo yanayotolewa na ofisi hiyo inapobaini udhaifu, mapungufu na ubadhirifu kwenye taasisi na miradi. Akizungumza leo Jumamosi Mei 17,…

Ofisa tabibu, mmiliki wa zahanati mbaroni tuhuma wizi wa vifaatiba
Mwanza. Polisi mkoani Mwanza linawashikilia na kuwahoji watu wawili akiwemo ofisa tabibu wa Hospitali ya Wilaya ya Sengerema, Nyanda Thomas (35) kwa tuhuma za kuiba vifaatiba vyenye thamani ya zaidi ya Sh28.5 milioni katika hospitali hiyo. Mtuhumiwa mwingine ni mfanyabiashara na mmiliki wa Chuo cha Afya na Zahanati binafsi iitwayo ELABS iliyopo wilayani humo, Novart…

Wadakwa wakiwa na meno ya tembo, bangi
Mbeya. Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa mbalimbali akiwemo, Marko Kweya (51), Mkazi wa Kijiji cha Miyombweni, Wilaya ya Mbarali mkoani humo kwa tuhuma za kukutwa na mano manne ya tembo. Pia, jeshi hilo linamshikilia Hassan Hassan (50), Mkazi wa Mkoa wa Tanga baada ya kumkamata akiwa na dawa za kulevya aina ya bangi yenye…

Aliyekata rufaa kupinga miaka 30, aongezewa kifungo cha maisha jela
Dodoma. Usemi wa siku ya kufa nyani miti yote huteleza unaakisi namna Amos Nyamanga alivyojikuta akiongezewa kifungo hadi cha maisha jela alipokata rufaa kupinga kifungo cha miaka 30 jela. Mara zote mshtakiwa anapokata rufaa kwenda mahakama ya juu zaidi kupinga adhabu aliyopewa na mahakama ya chini, anatarajia kupata ahueni, ikiwamo kuachiwa huru lakini si kwa…

Sababu Padri Nkwera kuzikwa na Kanisa Katoliki
Dar es Salaam. Padri Anthony Mamsery, aliyeoongoza misa kumuombea muasisi wa kituo cha sala na maombezi cha Mama Bikira Maria (Marian Faith Healing), Padri Felician Nkwera (89), ameeleza sababu za mtumishi huyo wa Mungu kuzikwa na Kanisa Katoliki. Padri Nkwera alifariki dunia Mei 8, 2025 katika hospitali ya TMJ alikokuwa akipatiwa matibabu. Maziko yake yamefanyika…