Dalali: Tukifanya haya mwarabu hatoki


MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali amesema hadi sasa maandalizi ya timu hiyo kwa mchezo wa ugenini wa hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco ni mazuri na anaamini timu yake itapata matokeo mazuri ikiwa itafanya baadhi ya mambo.

Related Posts