Na.Ashura Mohamed -Arusha Benki ya CRDB nchini imesema kuwa imefanikiwa kupandisha mapato yasiyotokana na Mikopo ambayo kwa mwaka 2024 yalikuwa chini tofauti na mwaka 2025
Day: May 18, 2025

TIMU ya Mwembe Makumbi City, imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuitandika Chipukizi bao 1-0 katika mchezo uliofanyika leo Jumapili

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo.

Shinyanga. Kuporomoka kwa kifusi katika mgodi unaomilikiwa na kikundi cha Hapa Kazi Tu, Mwakityolo mkoani Shinyanga, kumepoka uhai wa watu sita na kuwajeruhi 17 kwa

Mbeya. Watu watatu wakazi wa wilaya za Chunya na Mbarali mkoani Mbeya wamehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kila mmoja baada ya kupatikana na

Bukoba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kukiamuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuitisha upya Baraza

Dodoma. Mambo manne yametajwa kutishia uendelevu wa sekta ya nyuki nchini Tanzania, ikiwemo matumizi ya dawa za kuua wadudu katika kilimo yasiyozingatia kiwango kinachotakiwa. Mambo

Dar es Salaam. Ukiachana na uwezo wake kiuongozi na hotuba yake iliyoakisi kiu kubwa ya Waafrika, sifa ya Tanzania kidiplomasia barani Afrika ni miongoni mwa

::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amefanya ziara katika kiwanda cha Sigara Tanzania cha