Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 18, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 18
Michezo

CRDB YAJAYO NI “NEEMA” TU,KASI YAKE YA UKUAJI NI ASILIMIA 30 HADI 40 KWA MWAKA.

May 18, 2025 Admin

Na.Ashura Mohamed  -Arusha Benki ya CRDB nchini imesema kuwa imefanikiwa kupandisha mapato yasiyotokana na Mikopo ambayo kwa mwaka 2024 yalikuwa chini tofauti na mwaka 2025

Read More
Habari

CCM wampongeza DK Janabi

May 18, 2025 Admin

………  

Read More
Michezo

Mwembe Makumbi yarejea kileleni, Mlandege ikifanya mauaji ZPL

May 18, 2025 Admin

TIMU ya Mwembe Makumbi City, imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuitandika Chipukizi bao 1-0 katika mchezo uliofanyika leo Jumapili

Read More
Michezo

Yanga yamuuza rasmi Aziz KI, acheza mechi ya mwisho

May 18, 2025 Admin

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo.

Read More
Habari

Maafa mgodini | Mwananchi

May 18, 2025 Admin

Shinyanga. Kuporomoka kwa kifusi katika mgodi unaomilikiwa na kikundi cha Hapa Kazi Tu, Mwakityolo mkoani Shinyanga, kumepoka uhai wa watu sita na kuwajeruhi 17 kwa

Read More
Habari

Watatu wahukumiwa miaka 30, jela kila mmoja kwa ubakaji

May 18, 2025 Admin

Mbeya. Watu watatu wakazi wa wilaya za Chunya na Mbarali mkoani Mbeya wamehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kila mmoja baada ya kupatikana na

Read More
Habari

CCM yatia neno barua ya msajili kwa Chadema, chajibu

May 18, 2025 Admin

Bukoba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kukiamuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuitisha upya Baraza

Read More
Habari

Changamoto tishio sekta ya nyuki zatajwa

May 18, 2025 Admin

Dodoma. Mambo manne yametajwa kutishia uendelevu wa sekta ya nyuki nchini Tanzania, ikiwemo matumizi ya dawa za kuua wadudu katika kilimo yasiyozingatia kiwango kinachotakiwa. Mambo

Read More
Habari

Kilichompa ushindi Profesa Janabi, Tanzania itakavyonufaika

May 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ukiachana na uwezo wake kiuongozi na hotuba yake iliyoakisi kiu kubwa ya Waafrika, sifa ya Tanzania kidiplomasia barani Afrika ni miongoni mwa

Read More
Habari

CG MWENDA HAPOI, ATEMBELEA KIWANDA CHA SIGARA TCC PLC

May 18, 2025 Admin

         ::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amefanya ziara katika kiwanda cha Sigara Tanzania cha

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.