Yanga yamuuza rasmi Aziz KI, acheza mechi ya mwisho

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo. Yanga leo Jumapili imemuaga rasmi kiungo huyo uwanjani na wakati wowote kuanzia sasa atatimka kwenda kujiunga na klabu mpya huko Afrika Kaskazini. Taarifa ya uhakika ni kwamba, Yanga itamuuza Aziz…

Read More

Maafa mgodini | Mwananchi

Shinyanga. Kuporomoka kwa kifusi katika mgodi unaomilikiwa na kikundi cha Hapa Kazi Tu, Mwakityolo mkoani Shinyanga, kumepoka uhai wa watu sita na kuwajeruhi 17 kwa mujibu wa taarifa rasmi ya uokozi hadi leo saa 12:00 jioni. Hadi taarifa ya mwisho ya uokozi ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Shinyanga inayotolewa leo, inadaiwa watu 20…

Read More

CCM yatia neno barua ya msajili kwa Chadema, chajibu

Bukoba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kukiamuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuitisha upya Baraza kuu ili kuziba nafasi ya wajumbe wanane, chama hicho kisitafute mchawi bali wao ndio wenye makosa. Kauli hiyo ya CCM, imetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho,…

Read More

Changamoto tishio sekta ya nyuki zatajwa

Dodoma. Mambo manne yametajwa kutishia uendelevu wa sekta ya nyuki nchini Tanzania, ikiwemo matumizi ya dawa za kuua wadudu katika kilimo yasiyozingatia kiwango kinachotakiwa. Mambo mengine ni ubadilishaji wa matumizi ya misitu kwa ajili ya shughuli nyingine, uchomaji wa misitu na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamebainishwa leo Mei 18, 2025, na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

Kilichompa ushindi Profesa Janabi, Tanzania itakavyonufaika

Dar es Salaam. Ukiachana na uwezo wake kiuongozi na hotuba yake iliyoakisi kiu kubwa ya Waafrika, sifa ya Tanzania kidiplomasia barani Afrika ni miongoni mwa mambo yaliyochangia ushindi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Janabi. Kipindi cha kampeni iliyochukua takribani miezi mitatu, Mjumbe Maalum wa Rais Samia Suluhu…

Read More

CG MWENDA HAPOI, ATEMBELEA KIWANDA CHA SIGARA TCC PLC

         ::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amefanya ziara katika kiwanda cha Sigara Tanzania cha TCC PLC Jijini Dar es Salaam Mei 17.2025 na kujiridhisha kwamba uzalishaji unaofanyika unaendana na kiwango cha Kodi inayolipwa na kiwanda hicho. Akiwa kiwandani hapo Kamishna Mkuu ametembelea maeneo ya…

Read More