EQUITY NA SERIKALI WAJIPANGA KUIMARISHA UCHUMI KUPITIA UWEKEZAJI

Serikali imesema itaendelea kuchukua mwelekeo wa kimkakati wa kuwekeza kwenye maeneo yenye uwezo wa kukuza uchumi jumuishi na shindani, ambapo kipaumbele kimewekwa katika sekta ya usafiri ili kurahisisha biashara, kuvutia uwekezaji wa ndani na nje, pamoja na kuwaunganisha wazalishaji na masoko, hatua inayolenga kuharakisha maendeleo ya taifa kwa njia endelevu. Akizungumza jijini Dar es Salaam…

Read More

Bodi ya Ithibati rasmi kuanza kutoa vitambulisho kwa waandishi wa habari

Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa habari imetangaza kuanza rasmi  kutoa kitambulisho cha ithibati  kwa waandishi kuanzia leo, huku ikionya wadanganyifu ambao hawajasomea fani hiyo.  Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 19,2025 na Mwenyekiti wa bodi hiyo,Tido Mhando alipozungunza na waandishi wa habari kuhusu hatua iliyofikia bodi hiyo katika utoaji ithibati. Mhando ambaye…

Read More

Je! Ni jamii gani za vijijini nchini Tanzania zinahitaji kujua juu ya biashara ya kaboni na haki za ardhi – maswala ya ulimwengu

Wawakilishi wa jamii ya Maasai huko Longido wanapokea cheki cha dhihaka kutoka kwa udongo kwa kampuni ya baadaye kama malipo ya kupunguza ardhi yao ya malisho mnamo Septemba 2024. Mkopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Dar es salaam) Jumatatu, Mei 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAR ES SALAAM, Mei 19 (IPS) – Kama…

Read More

Makalla awataka mabalozi CCM kuhamasisha uandikishaji daftari la wapigakura

Muleba. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewapa rungu mabalozi wa chama hicho nchini la kuhamasisha Watanzania wakiwemo vijana kujitokeza katika mchakato uandikishaji na uboreshaji wa daftari la kuduma la wapigakura awamu ya pili. Makalla amesema jambo muhimu katika  mchakato wa uchaguzi ni kuhakikisha wananchi wamejiandikisha na kuboresha…

Read More

Kilio cha wananchi Iringa juu ya kupanda kwa bei ya nyanya

Iringa. Mkoa wa Iringa umekumbwa na ongezeko kubwa la bei ya nyanya, hali inayowaelemea wananchi na wafanyabiashara ambapo awali, wananchi wanasema kuwa walinunua nyanya kwa bei nafuu, lakini sasa bei imepanda maradufu. Bei ya tenga moja la nyanya lililokuwa linauzwa kati ya Sh20,000 hadi Sh25,000 sasa linauzwa kati ya Sh48,000 hadi Sh50,000. ‎Wakulima wameeleza kuwa…

Read More

Udhaifu wa ushahidi wawachia huru walimu wawili kesi ya mauaji

Geita. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita imewaachia huru walimu wawili waliokuwa wakikabiliwa na shitaka la kuua bila kukusudia, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi yao pasipo kuacha shaka. Hukumu hiyo imetolewa leo Mei,19,2025 na Jaji wa Mahakama hiyo Griffin Mwakapeje na kueleza kuwa ushahidi uliowasilishwa haukuweza kuthibitisha kama walimu hao walihusika moja…

Read More

MASHAHIDI WA MAJI DAR WAENDELEA KUPAZA SAUTI DHIDI YA UHARIBIFU WA RASILIMALI MAJI.

…………………. Na Mussa Khalid Mashahidi wa Maji Taka na Maji safi Mkoa wa Dar es salaam wameiomba serikali kupitia Mamlaka za usimazizi wa mazingra kusimamia Sheria ,sera na kanuni katika kuwachukulia hatua watu au viwanda vinavyofanya uharibifu wa mazingra ikiwemo kwenye mito katika maeneo mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Mashahidi wa Maji Mkoa…

Read More

Wawekezaji 200 kutoka nchi 15 kutafuta fursa Tanzania

Dar es Salaam. Ujumbe wa wawekezaji 200 kutoka nchi 15 duniani unatarajiwa kufika Tanzania kuangalia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo nchini katika sekta mbalimbali ikiwemo uchumi wa buluu. Ujumbe huo utakuwa jijini Dar es Salaam, Mei 19 na Zanzibar Mei 20 mwaka huu kabla ya kwenda Kampala nchini Uganda kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo…

Read More