Licha ya kuwa na karibu vituo 159 vya afya, pamoja na hospitali na kliniki, idadi kubwa ya watu wa Helmand inabaki bila kupata huduma muhimu
Day: May 20, 2025

Na Mwandishi Wetu WAFANYAKAZI 20 wa hoteli ya Lark iliyopo ndani ya jengo la Noble Centre Dar es Salaam, linalomolokiwa na CRJE wamezuiwa kuingia ndani

KWA mara nyingine tena, Meridianbet imeonesha kuwa iko pamoja na jamii – si kwa maneno tu, bali kwa vitendo. Leo hii, timu ya Meridianbet imefika

KUELEKEA Kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Maziwa mwaka huu, Bodi ya Maziwa nchini imeendelea kutoa wito kwa wananchi kuongeza unywaji wa maziwa, hasa yale

Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwateua wakurugenzi wapya wa halmashauri na manispaa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe.

Dar es Salaam. Ushindi wa Profesa Mohamed Janabi katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, si tu

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Katibu wa Chama Cha Ushirika cha Msingi (Amcos) Kijiji cha Gula, wilayani

GEITA MJINI: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla amesema serikali imeazimia kuwainua wachimbaji wadogo

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema utekelezaji wa kanuni za matumizi ya fedha za kigeni umesaidia kuimarisha thamani ya Shilingi ya Tanzania