Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 20, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 20
Kimataifa

Utapiamlo unawasumbua watoto na wanawake wajawazito nchini Afghanistan – maswala ya ulimwengu

May 20, 2025 Admin

Licha ya kuwa na karibu vituo 159 vya afya, pamoja na hospitali na kliniki, idadi kubwa ya watu wa Helmand inabaki bila kupata huduma muhimu

Read More
Habari

Taharuki Hoteli ya Lark, Wafanyakazi Wafungiwa nje

May 20, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu WAFANYAKAZI 20 wa hoteli ya Lark iliyopo ndani ya jengo la Noble Centre Dar es Salaam, linalomolokiwa na CRJE wamezuiwa kuingia ndani

Read More
Habari

MERIDIANBET YAGUSA MIOYO YA FAMILIA MAKUMBUSHO NA MWANANYAMALA – YAGAWA VYAKULA NA VIFAA VYA NYUMBANI

May 20, 2025 Admin

KWA mara nyingine tena, Meridianbet imeonesha kuwa iko pamoja na jamii – si kwa maneno tu, bali kwa vitendo. Leo hii, timu ya Meridianbet imefika

Read More
Habari

TDB- MAZIWA YALIYOSINDIKWA NI SALAMA

May 20, 2025 Admin

KUELEKEA Kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Maziwa mwaka huu, Bodi ya Maziwa nchini imeendelea kutoa wito kwa wananchi kuongeza unywaji wa maziwa, hasa yale

Read More
Michezo

Sababu Dk Mwinyi kuteua wakurugenzi wapya Unguja, Pemba

May 20, 2025 Admin

Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwateua wakurugenzi wapya wa halmashauri na manispaa

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA NAMIBIA MHE. NETUMBO NANDI-NDAITWA

May 20, 2025 Admin

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe.

Read More
Habari

Kikwete alivyobadili upepo ushindi wa Profesa Janabi

May 20, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ushindi wa Profesa Mohamed Janabi katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, si tu

Read More
Habari

Katibu wa Amcos jela miaka 20 kwa uhujumu uchumi

May 20, 2025 Admin

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Katibu wa Chama Cha Ushirika cha Msingi (Amcos) Kijiji cha Gula, wilayani

Read More
Habari

RAIS SAMIA AMESAIDIA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI KUPATA LESENI – MAKALL

May 20, 2025 Admin

GEITA MJINI: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla amesema serikali imeazimia kuwainua wachimbaji wadogo

Read More
Habari

‘Katazo matumizi fedha za kigeni, limeimarisha thamani ya Shilingi’

May 20, 2025 Admin

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema utekelezaji wa kanuni za matumizi ya fedha za kigeni umesaidia kuimarisha thamani ya Shilingi ya Tanzania

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.