Almasi ya Sh1.7 bilioni yakamatwa ikitoroshwa Mwanza

Mwanza. Madini ya almasi yenye thamani ya zaidi ya Sh1.7 bilioni yamekamatwa yakitoroshwa nje kupitia uwanja wa ndege wa Mwanza. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza usiku wa Mei 23, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema madini hayo yalikamatwa Mei 18, 2025 kwa ushirikiano kati ya vyombo vya ulinzi na taasisi mbalimbali za…

Read More

Timu za misaada zinaonyesha wasiwasi unaokua katika Gaza baada ya chakula kufutwa – maswala ya ulimwengu

“Malori kumi na tano ya Programu ya Chakula ya Ulimwenguni yaliporwa marehemu jana usiku kusini mwa Gaza, wakati wakiwa njiani kwenda njiani WFP-Kuokoa mkate, “shirika la UN lilisema.” Malori haya yalikuwa yakisafirisha vifaa muhimu vya chakula kwa idadi ya watu wenye njaa wakisubiri kwa msaada. “ Maendeleo hayo ni pigo la kuendelea na juhudi za…

Read More

RAIS SAMIA AZUNGUMZA KWA NJIA YA MTANDAO NA PETER SANDS

  ……….. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kimataifa wa kusaidia Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund) Bw. Peter Sands kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Mfuko huo na Tanzania, Ikulu…

Read More

TCM yalia uhaba wa wataalamu sekta ya madini

Dar es Salaam. Wakati migodi mingi nchini ikihamia kwenye uchimbaji wa chini ya ardhi, inaelezwa kuwa hatua hiyo imesababisha uhitaji wa wataalamu, huku uhitaji wa wataalamu hao (mafundi mchundo) wa kuendesha mitambo migodini ukiwa mkubwa. Awali, uhaba huo ulikuwepo katika eneo la ufundi umeme wa viwandani, ufundi wa mitambo mikubwa ya migodini, umeme wa magari…

Read More

Wenye ulemavu wafunuliwa fursa ununuzi wa umma

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wasioona Tanzania, Omary Itambu amesema utolewaji wa elimu na mafunzo ya ununuzi wa umma kwenye kundi la wenye ulemavu utawawezesha kushiriki kikamilifu katika mchakato mzima wa zabuni za Serikali. Amesema hayo kwenye hafla ya ugawaji wa vifaa saidizi vya mafunzo kwa Jumuiya ya Watu Wasioona, iliyoandaliwa na Mamlaka…

Read More

CHOMBO CHA KUSIMAMIA MADALALI KINAUNDWA NDEJEMBI

…………,….. Serikali kupitia wizara ya  Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi imefanikiwa kuanzisha chombo cha kusimamia madalali ili kuepuka migogoro kwa wananchi . Haya yameelezwa  na waziri wa Ardhi nyumba maendeleo ya makazi Deogratious Ndejembi wakati wakizungumza na waandishi wahabari  leo 23 mei 2025 jijini Dodoma akieleza mafanikio ya sekta hiyo kwa kipindi cha miaka…

Read More

Mtaala mpya wa elimu kufungua fursa mpya za ufundi kwa vijana

Unguja. Wakati mchakato wa kuandaa mtaala mpya wa umahiri ukiendelea, wataalamu wa elimu wamesema mtaala huo unatarajiwa kufungua fursa mpya kwa vijana kwa kuwa utawawezesha kujengwa kwa kizazi chenye uwezo wa kubuni, kutekeleza na kuendeleza shughuli za kiuchumi kwa kutumia stadi mbalimbali watakazojifunza shuleni. Katika hatua ya awali, mtaala huu umeweka msingi muhimu kwa kuanzisha…

Read More