Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 24, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 24
Habari

Sh200 milioni zatekeleza miradi ya kijamii Buziba

May 24, 2025 Admin

Geita. Mgodi wa dhahabu wa Mwamba uliopo katika Kijiji cha Buziba, Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita umetumia zaidi ya Sh200 milioni kwa ajili ya

Read More
Michezo

Rais Mwinyi aahidi mamilioni Simba ikitwaa ubingwa CAFCC

May 24, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola  za Marekani 100, 000 (Sh269

Read More
Habari

UVCCM yahamasishana kujiandikisha kupiga kura

May 24, 2025 Admin

Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), umewataka wapiga kura wapya kuwahamasisha vijana wengine kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ili kushiriki ipasavyo

Read More
Habari

Mbeki ataka ukweli kwa viongozi wa Afrika

May 24, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amewataka viongozi wa Bara la Afrika kuwa wakweli na waaminifu katika kulinda masilahi ya bara

Read More
Michezo

Rais Mwinyi kuipa Simba Sh279 milioni ikitwaa ubingwa CAFCC

May 24, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola  za Marekani 100, 000 (Sh269

Read More
Habari

Bei lita moja maziwa ya nyuki yagonga Sh12 milioni

May 24, 2025 Admin

Moshi. Wafugaji wa nyuki mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitokanazo na mazao ya nyuki ikiwemo maziwa na asali ambapo bei ya lita moja

Read More
Habari

RC aagiza wajawazito kufungiwa runinga wodini Hospitali ya Chunya

May 24, 2025 Admin

Chunya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera ameagiza Serikali Wilaya ya Chunya kufunga king’amuzi na runinga kwenye wodi za  wajawazito walio kwenye uangalizi 

Read More
Habari

Othman aanza ziara Kanda ya Ziwa, aamsha ari ya mageuzi

May 24, 2025 Admin

Shinyanga. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewahimiza wananchi wa Shinyanga kutafakari kwa kina kuhusu mchango wao katika kuleta mageuzi. Amewakumbusha kuwa

Read More
Habari

Operesheni C4C ya Chaumma yasogezwa mbele hadi Juni Mosi

May 24, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ametangaza kusogezwa mbele kwa operesheni yao ya C4C (Chaumma For Change)

Read More
Habari

Hifadhi ya Saanane yavuna Sh1.4 bilioni kwa miaka saba

May 24, 2025 Admin

Mwanza. Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Saanane imekusanya zaidi ya Sh1.4 bilioni kutoka kwa watalii 123, 292 waliotemelea hifadhi hiyo kwa takriban miaka saba

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.