……….. Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na maendeleo Chadema hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi
Day: May 27, 2025

Taasisi ya nishati mbadala ya REEP imezindua Mradi wa Pure Growth Fund kwa lengo la kuwawezesha wananchi, hasa walioko katika sekta za kilimo na uvuvi, kupata teknolojia

Edilso Reguera, mtafiti katika Kituo cha Utafiti katika Sayansi ya Kutumika na Teknolojia ya hali ya juu (CICATA) ya Taasisi ya Kitaifa ya Umma ya

*Asisitiza nafasi ya kuwa na rasilimali watu wenye Maarifa kufikia lengo *Achambua hoja za wasomi akieleza nafasi ya PPP katika kutekeleza miradi Na Said Mwishehe,Michuzi

Mambo ya ndani ya Msikiti wa Kruszyniany, ulio katika moja ya vijiji viwili vya Tatar vya Poland. Mlezi wake, Dzemil Gembicki, anakaribisha wageni wanaotamani kujifunza

Dar es Salaam. Bado ni majanga. Unaweza kusema kwa uhakika kwamba unafuu uliotarajiwa na wakati wa Jiji la Dar es Salaam katika usafiri ya Mabasi

Mtama. Wananchi wa kata ya Nachunyu wataondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya afya baada ya Serikali kuwajengea kituo cha afya Pangaboi.

Safiri Smart! Wataalamu kutoka sekta ya usafiri wakichambua njia za kufungua fursa za kidigitali nchini Tanzania kupitia ubunifu, sera thabiti na ushirikiano wa sekta

Rombo. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan