MSAJILI AWAPIGA PINI MNYIKA NA WENZAKE CHADEMA,AZUIA RUZUKU

……….. Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na maendeleo Chadema hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili kutokana na Chadema kutokuwa na Viongozi wanaoweza kusimamia mapato, matumizi na marejesho ya fedha hizo za Umma. Taarifa ya Msajili wa Vyama vya siasa iliyochapishwa leo Jumanne Mei…

Read More

TEKNOLOJIA MPYA KUZUIA UPOTEVU WA MAZAO NA UVUVI

Taasisi ya nishati mbadala ya REEP imezindua Mradi wa Pure Growth Fund kwa lengo la kuwawezesha wananchi, hasa walioko katika sekta za kilimo na uvuvi, kupata teknolojia za kisasa zitakazosaidia kuhifadhi mazao, kupunguza upotevu na kuongeza thamani ya uzalishaji. Uzinduzi huo umefanyika wakati ambapo takwimu zinaonesha kuwa asilimia 50 ya mazao ya kilimo na uvuvi hupotea kuanzia…

Read More

Maumivu wanayopitia watumiaji mabasi ya Mwendokasi

Dar es Salaam. Bado ni majanga. Unaweza kusema kwa uhakika kwamba unafuu uliotarajiwa na wakati wa Jiji la Dar es Salaam katika usafiri ya Mabasi Yaendayo Haraka haujapatikana. Sasa ni takribani miaka tisa tangu kuanzishwa kwa usafiri wa mabasi hayo mwaka 2016, lakini9 mradi huo, hasa kwa awamu ya kwanza,  lakini haujakidhi matarajio ya usafiri…

Read More

Ajenda ya kidigitali yashika kasi nchini kupitia Future Ready Summit na Innovation Week 2025

  Safiri Smart! Wataalamu kutoka sekta ya usafiri wakichambua njia za kufungua fursa za kidigitali nchini Tanzania kupitia ubunifu, sera thabiti na ushirikiano wa sekta mbalimbali ili kujenga mfumo wa usafiri jumuishi na endelevu Ubunifu katika Misitu! Rais wa Finland, Alexander Stubb, akizindua mpango wa Green Catalyst unaolenga kuhamasisha ubunifu katika sekta ya misitu kwa…

Read More

Samia asimame hapo, Lissu pale mechi dakika 90 – Heche

Rombo. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ni mgombea mteule wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) ashindane na mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Heche amesema hayo leo, Mei 27, 2025 Tarakea, Kilimanjaro,…

Read More