Baadhi ya vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakiongozwa na Hemed Hassan, Katibu wa Hamasa na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Kinondoni, wamemjibu Askofu Josephat Gwajima kufuatia mkutano aliouitisha na waandishi wa vyombo vya habari.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.