Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 28, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 28
Kimataifa

Mjumbe wa juu wa UN anataka Israeli kumaliza mgomo mbaya, njaa ya raia – maswala ya ulimwengu

May 28, 2025 Admin

Sigrid Kaag, mratibu wa mpito wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, alisema kwamba shida iliyotengenezwa na mwanadamu huko Gaza imeingiza raia

Read More
Habari

RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

May 28, 2025 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la

Read More
Kimataifa

Timu za Msaada wa UN zinaomba ufikiaji huku kukiwa na ripoti za Gazans risasi kukusanya chakula – maswala ya ulimwengu

May 28, 2025 Admin

Matangazo yasiyothibitishwa kutoka kwa Rafah ambapo msingi wa kibinafsi lakini wa Israeli unaoungwa mkono na Jeshi la Kibinadamu ni msingi ulionyesha matukio ya hofu na

Read More
Habari

SERIKALI YAKAGUA MIGODI 13, 279, BOHARI ZA BARUTI 164 KUDHIBITI USALAMA

May 28, 2025 Admin

 JUMLA ya migodi 13,279 pamoja na bohari za baruti 164 zimekaguliwa nchini kuanzia Julai 2024 hadi Machi 2025. Hayo yameelezwa leo Mei 28, 2025 jijini

Read More
Habari

Mashahidi waaanza kusikilizwa kesi ya rushwa ya aliyekuwa mkurugenzi Simanjiro

May 28, 2025 Admin

Simanjiro. Mashahidi wawili kwenye kesi ya rushwa inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Samwel Warioba Gunza wameanza kutoa ushahidi

Read More
Habari

Viongozi wa dini watoa neno suluhu ya mashauri ya ndoa

May 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu ikija na mkakati wa kushughulikia mashauri ya ndoa kwa kutenga fungu

Read More
Habari

Majiko banifu 626 yakabidhiwa Ruangwa

May 28, 2025 Admin

Ruangwa. Serikali ya Wilaya ya Ruangwa kupitia wadau mbalimbali wa maendeleo wametoa majiko ya gesi 626, pamoja na majiko banifu katika kuendeleza nishati safi ya

Read More
Habari

Mawakili wa Serikali waitwa kunolewa utekeleza Dira ya Taifa

May 28, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mawakili wa Serikali wameitwa kwa ajili ya mafunzo ya kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao katika sekta mbalimbali, pamoja na mambo mengine

Read More
Michezo

Ubunge wa Siha unavyomtesa Dk Mollel, awalalamikia Takukuru

May 28, 2025 Admin

Siha. Mbunge wa Siha mkoani Kilimanjaro, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ameibua gumzo wilayani humo, akituhumu kuhujumiwa ubunge wake huku

Read More
Habari

Mikakati Chadema kusuka safu Mbeya, Mwabukusi atoa msimamo

May 28, 2025 Admin

Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisisitiza msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi kwa madai ya kutaka mabadiliko, huko mkoani Mbeya maandalizi ya uchaguzi

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.