SERIKALI YAMPONGEZA MWL BHOKE KINARA UPISHI NA UPAMBAJI GEITA

………………. Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imempongeza Bhoke Kisigiro, kwa kuibuka mshindi wa kwanza katika tuzo ya mpishi na mpambaji bora wa keki 2025 iliyotolewa na “Geita Women Festival (GWF) huku watumishi wengine wakihimizwa kufanya shughuli za ziada za kuwaingizia kipato baada ya muda wa kazi. Bhoke ambaye kitaaluma ni mwalimu,…

Read More

TAKUKURU KINONDONI YABAINI MAPUNGUFU KWENYE MIRADI

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni Christian Nyakizee akizungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025 …………… TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni imefuatilia miradi…

Read More

ACT yawashtakia wabunge kamati ya maadili 

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Ofisi ya Spika wa Bunge la Tanzania kuwajibika kwa kuwaita na kuwahoji wabunge katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kufuatia kauli zilizotolewa na baadhi yao kutozingatia maadili ya uongozi, utu wala heshima ya chombo hicho muhimu cha kutunga sheria. Kwa mujibu wa chama hicho,…

Read More

Boni yai amtaka Mbowe asiwe mnyonge, akumbushia mchango wake

Hai. Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani wa Chadema, Boniphace Jacob, maarufu Boni Yai amesema kazi iliyofanywa na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho,  Freeman Mbowe  kwa miaka 21 wanaithamini na kumtaka asikae pembeni kwa kuwa bado wanamuhitaji na wataendelea kumlinda. Bon Yai ameyasema hayo leo Alhamisi Mei 29, 2025 wakati akizungumza na  wananchi kwenye mkutano wa…

Read More

Fumbo la Samia, nani wa kuipasua CCM?

Dodoma. Kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan juu ya ‘wenye dhamira ya kukipasua chama hicho’ imekuwa kama fumbo ambalo limewaacha wanachama wa chama hicho na tafakuri tofauti, kila mmoja akiichambua kivyake. Aidha, kauli hiyo imeelezwa na wasomi wa sayansi ya siasa kuwa inaashiria kwamba ndani hakuko shwari. Rais Samia…

Read More

Wakulima walalamikia mizani feki zao la pamba

Shinyanga. Baadhi ya wakulima wa zao la pamba mkoani Shinyanga wametoa sababu inayowazuia kusajili biashara zao katika mfumo wa ununuzi na uuzaji ni matumizi ya mizani feki kwa wanunuzi ambayo inawasababishia hasara. Hayo yamebainishwa leo Mei 29, 2025 katika mkutano wa wakulima wa zao la pamba, kampuni ya ununuzi, pamoja na vyama vya ushirika wa…

Read More