
May 30, 2025


Glaciers nyeti zaidi kwa ongezeko la joto duniani, sasa katika shida kubwa – maswala ya ulimwengu
Khumbu Glacier katika mkoa wa Mt. Everest huko Nepal. Ripoti mpya inasema barafu za barafu ni nyeti zaidi kwa ongezeko la joto duniani kuliko inakadiriwa hapo awali. Mikopo: Tanka Dhakal/IPS na Tanka Dhakal (Bloomington, USA) Ijumaa, Mei 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BLOOMINGTON, USA, Mei 30 (IPS) – Karibu asilimia 40 ya barafu…

STAMICO YAANIKA FURSA YA NISHATI MBADALA KWA WAJASIRIAMALI MANISPAA YA UBUNGO
Afisa Masoko Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Bw. Mark Stephano (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Afisa Mazingira wa Manispaa ya Ubungo Bi. Jesca Stanley kuhusu nishati mbadala ya Rafiki Briquettes inavyofanya kazi kwa ufanisi, wakati semina ya wajasiriamali iliyofanyika leo Mei 30, 2025, Dar es Salaam. Afisa Mazingira wa Manispaa ya Ubungo Bi. Jesca…
ABSA NA THE RUNNERS WACHANGIA VIFAA TIBA KWA WODI YA WAJAWAZITO NA DHARURA MNAZI MMOJA
:::::::: Benki ya Absa kwa kushirikiana na klabu ya The Runners wamekabidhi msaada wa vifaa tiba katika Kituo cha Afya cha Mnazi Mmoja, hususan katika wodi ya wazazi na dharura, ikiwa ni sehemu ya juhudi zao za kuchangia sekta ya afya nchini. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo, Makamu wa Rais wa The Runners,…

Waipa serikali mbinu kupunguza deni la Taifa
Dodoma. Msisitizo kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi umetajwa kuwa njia pekee ya kupunguza Deni la Taifa ambalo mpaka mwaka huu wa 2025 limefikia Sh97 trilioni, kwa mu-jibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG). Wadau wa maendeleo ya Taifa wamebainisha hayo leo Mei 30, 2025 jijini Dodoma wakati wa…

Afrika yajadili mbinu matumizi sahihi ya intaneti kukuza ajira kwa vijana
Dar es Salaam. Tanzania imesema iko tayari kushiriki katika uchumi wa kidijitaji na kuhakikisha inatimiza malengo ya milenia ya mageuzi ya teknolojia yaliyopo duniani, huku ikihamasisha vijana watumie intaneti kwa manufaa. Kauli hiyo inakuja, huku viongozi mbalimba-li barani Afrika, wakitafuta mbinu za kuhakikisha vijana barani wanatumia fursa zilizopo kwenye mitandao, kukuza uchumi kidijitali na kuachana…

Liwale kutumia ‘drone’ kufukuza tembo makazi ya watu
Liwale. Katika kukabiliana na changamoto ya wanyamapori waharibifu na wakali katika vijiji 64 kati ya 76 vilivyopo Liwale, Serikali kupitia Mamlaka ya Wanyapori Tanzania (Tawa) wamekuja na matumizi ya teknolojia ya ndege nyuki (drone) ili kuwadhibiti wanyama hao hasa tembo. Hayo yamebainishwa leo Mei 30, 2025 na Mhifadhi wa Wanyamapori Wilaya ya Liwale, Philipo Orio…

Wadau na wabunge watoa ya moyoni Ilani ya CCM
Dodoma. Wadau na wabunge wamesema kuwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2025/30, iliyopitishwa na Mkutano Mkuu wa chama hicho, imejibu masuala mengi muhimu ambayo Watanzania walikuwa wakingojea kwa hamu, yakiwemo mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Akizungumza leo, Ijumaa Mei 30, 2025, Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo…

INTERNET SOCIETY MAKAO MAKUU YATEMBELEA MIRADI NCHINI TANZANIA
Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Menejimenti ya Teknolojia wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) Catherine Mkude akizungumza na wageni wa Internet Society wa Makao Makuu uliotembelea Chuo hicho jijini Dar es Salaam. Rais wa Internet Society Tanzania Tawi la Tanzania Dkt.Nazar Kirama akizungumza kuhusiana makubaliano kati ISOC Tanzania na OUT ya kutumia vituo hivyo…

Mwalimu jela miaka 30 kwa kughushi umri na kujipatia mafao ya kustaafu
Dar es Salaam. Mwalimu wa Shule ya Msingi Kilulu, iliyopo wilayani Bariadi, mkoani Simiyu, Emmanuel Pamba Everist, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili. Mwalimu huyo amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu, baada ya kupatikana na hatia kwa makosa ya kughushi…