Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 31, 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • 31
Habari

Nini hatima ya siasa kwa Askofu Gwajima?

May 31, 2025 Admin

Moshi/Dar. Kuna usemi “A King’s word is law” ikimaanisha neno la mfalme ni sheria na hili linaakisi kile ambacho kinatarajiwa kumkuta Mbunge wa Kawe, Askofu

Read More
Habari

Rais mpya wa mahakama ya Afrika kujulikana Juni 2

May 31, 2025 Admin

Arusha. Rais mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) anatarajiwa kujulikana Jumatatu, wakati jopo la majaji wa Mahakama hiyo litakapofanya

Read More
Habari

Taka za plastiki zaipasua kichwa Serikali

May 31, 2025 Admin

Arusha. Katika kukabiliana na madhara yatokanayo na kuzagaa kwa taka za plastiki nchini, serikali imewaita wadau wa sekta binafsi kushirikiana kupunguza tatizo hilo ikiwemo kufanya

Read More
Habari

AKU yaanzisha shahada mpya ya uzamili kwa wauguzi

May 31, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika hatua ya kihistoria inayolenga kuboresha utoaji wa huduma ya afya ya msingi nchini, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimezindua programu

Read More
Habari

Mapya yaibuka kesi ya Lissu

May 31, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati kesi dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu zikitarajiwa kurejea mahakamani Juni 2, 2025, Wakili wake

Read More
Habari

KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU

May 31, 2025 Admin

Na Said Mwishehe,Michuzi TV Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini Dar

Read More
Habari

Takukuru yaeleza madudu yaliyoibuka mkoani Rukwa

May 31, 2025 Admin

Rukwa. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Rukwa, kupitia kwa Mkuu wake, Mzalendo Widege, imeelezea hatua mbalimbali zilizochukuliwa katika kudhibiti rushwa

Read More
Habari

WAKILI PETER MADELEKA ACHUKUA FOMU YA KUWANI UBUNGE KIVULE

May 31, 2025 Admin

 ::::::::::: Wakili Peter Madeleka amejitosa rasmi kuwania Ubunge katika Jimbo jipya la Kivule, Madeleka aliyejiunga na ACT Wazalendo hivi karibuni akitokea Chadema amechukua fomu Leo

Read More
Habari

UDSOL YAANDAA KILELE CHA MASHINDANO YA KIMAHAKAMA

May 31, 2025 Admin

:::::::: Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imesema inatarajia kufanya kilele cha msimu wa tatu wa fainali za Mashindano ya

Read More
Habari

Sababu ongezeko magonjwa ya mfumo wa upumuaji

May 31, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imetaja sababu ya ongezeko la magonjwa ya mfumo wa upumuaji, huku wataalamu wa afya wakiebainisha hatua sahihi za kuchukua

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.