Ilani mpya ya CCM yabeba vipaumbele tisa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amesema ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka 2025/2030 imebeba vipaum-bele tisa ikiwemo kuboresha maisha ya watu na ustawi wa jamii. Vipaumbele vingine ni kuchochea mapinduzi ya kisasa, fungamanishi, jumuishi na shindani uli-ojengwa katika msingi wa kuongeza thamani…

Read More

Vijana walilia kushiriki kuongeza thamani mazao ya kilimo

Dodoma. Wakati serikali ikiwekeza nguvu kwa vijana na wanawake kwenye sekta ya kilimo, baadhi ya vijana wamesema kuwa uwekezaji huo haujawafikia na kuwanufaisha. Baadhi ya vijana wamesema bado wanahangaika kwenye shughuli zao za kila siku hasa za kuongeza thamani mazao ya kilimo kwa kukosa masoko ya bidhaa wanazozalisha, mitaji na elimu kutoka kwa maofisa ugani…

Read More

Kwa Namungo ni heshima na nafasi

KIRAKA wa Namungo, Erasto Nyoni amesema mechi mbili zilizosalia kufunga hesabu za msimu huu, zimebeba heshima na nafasi endapo timu hiyo ikishinda zote, inaweza ikapanda hadi nafasi ya tano iliyopo Tabora United. Namungo ipo nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi imecheza mechi 28 imeshinda nane, sare saba, imefungwa 13 imekusanya pointi 31, hivyo ikishinda…

Read More

Msimamo wa Serikali kwa wakazi wa Mbopo

Dar es Salaam. Kufuatia malalamiko ya wananchi wa Mbopo kata ya Mbwepande, kudai kuwa Shirika la Maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam (DDC) linataka kuwapora maeneo yao, Mkuu wa Wilaya ya Kinondo-ni, Saad Mtambule amesema hakuna mwananchi atakayeondolewa kwenye eneo lake. Mkuu huyo wa wilaya amewataka wanan-chi hao kukubali ukweli eneo wanalokaa ni la…

Read More

SAKATA LA WANAFUNZI KUMGOBEA MWIJAKU LATUA KISUTU

HATIMAE wale, mwanafunzi watatu wanaodaiwa kumdhalilisha mwenzao ambae ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Ardhi, Dar es Salaam Magnificat Kimario wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayomkabili. Wanafunzi hao kwa sasa wapo chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakisubiri kupandishwa kizimbani kutokana na video ya Aprili…

Read More

SERIKALI KUDHIBITI TAARIFA ZISIZO SAHIHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-NAIBU WAZIRI MAHUNDI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Maryprisca Mahundi akizungumza  na waandishi habari mara baada ya kufungua  Mkutano wa Jukwaa la Afrika kuhusu masuala ya Utawala wa  Mtandao ,jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Miundombinu wa Wizara ya Mawasiliano  na Teknolojia ya Habari Mhandisi Leo Magomba akizungumza juu mikakati ya Serikali kuhusiana na utawala…

Read More

Vyombo vya habari vyatakiwa kufuatilia maadili ya viongozi

Dar es Salaam.  Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu Sivangilwa Mwangesi, amevitaka vyombo vya habari kuandika na kuripoti habari zinazofuatilia mienendo ya viongozi wa umma, ili wale wenye tabia zisizofaa waweze kujirekebisha. Jaji Mwangesi ameyasema hayo leo, Ijumaa Mei 30, 2025, alipokuwa akifungua kikao kati ya Sekretarieti hiyo na wahariri…

Read More

Matumaini ya Amani juu ya Msaada wa Maisha, Baraza la Usalama linasikia – Maswala ya Ulimwenguni

“Vita vinavyoendelea tena, athari zake za kikanda na za ulimwengu zitasikika tena, na itakuwa ngumu zaidi kupata azimio la amani” Alisema Rosemary Dicarlo, Un Katibu Mkuu wa Secretary-Mkuu wa Mambo ya Siasa na Amani. Alikumbuka kupitishwa kwa Baraza la Usalama Azimio 2774 mnamo Februari-ya kwanza tangu uvamizi kamili wa Urusi wa Ukraine mnamo 2022-ambayo ilizua…

Read More