Tabasamu larejea kwa Mwalimu Lyuvale, aliyepata ajali akienda benki
Mufindi. Tabasamu limerejea machoni mwa Mwalimu Silvester Lyuvale (52) wa Shule ya Msingi Kinyanambo, Halmashauri ya Mji Mafinga, Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Furaha hiyo imekuja baada ya wadau mbalimbali kuguswa na hali yake na kumchangia kiti cha kutumia umeme na miguu bandia, hatua zitakazomwezesha kutembea tena na kutekeleza majukumu yake kama mwalimu. Mwalimu huyo…