Tanzania yataja ongezeko shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema miongoni mwa magonjwa yasiyoambukiza, shinikizo la juu la damu ndilo linaongoza kwa idadi ya wagonjwa wanaopata matibabu katika vituo vya afya nchini. Kufuatia hali hiyo, Serikali imepanga mikakati mbalimbali pamoja na kuboresha miundombinu, vifaa tiba na mafunzo kwa watoa huduma za afya kwa kuwajengea uwezo watoa…

Read More

Mwalimu kutesti na Sevilla, Porto

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza mechi mbili dhidi ya Sevilla ya Hispania na Porto kutoka Ureno. Kwa mujibu wa tovuti ya Wydad, timu hiyo itacheza mechi mbili za kirafiki kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia…

Read More

CCM yajibu aliko Wasira | Mwananchi

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kutoonekana kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira ni suala la ratiba na si vinginevyo kama inavyoelezwa. Ufafanuzi wa Makalla unajibu kauli mbalimbali zinazoibuliwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wadau wakihoji, yuko wapi…

Read More

Watatu walivyoepa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua adhabu ya kifo waliyokuwa wamehukumiwa watu watatu waliokuwa wamekutwa na hatia katika kesi tofauti za mauaji. Aidha, katika kesi nyingine mbili, Mahakama hiyo imebatilisha mwenendo, kufuta hukumu na kuamuru kesi hizo zisikilizwe upya na Mahakama Kuu kutokana na dosari mbalimbali za kisheria zilizojitokeza. Hukumu hizo tano zilitolewa jana Ijumaa Mei…

Read More

CCM yajibu aliko Wsira | Mwananchi

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kutoonekana kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira ni suala la ratiba na si vinginevyo kama inavyoelezwa. Ufafanuzi wa Makalla unajibu kauli mbalimbali zinazoibuliwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wadau wakihoji, yuko wapi…

Read More

Mchungaji atekwa na wasiojulikana, mashuhuda wasimulia

Arusha. Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35) ametekwa na watu wasiojulikana alipokuwa akitoka nyumbani kwake asubuhi ya Mei 16, 2025, walioshuhudia wasimulia. Baba mzazi wa Steven, ambaye ni balozi wa nyumba 10 wa CCM pamoja na walioshuhudia tukio hilo, wamesema waliomteka walikuwa…

Read More

Mchungaji atekwa na wasiojulikana, mashuhuda wasilimulia

Arusha. Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35) ametekwa na watu wasiojulikana alipokuwa akitoka nyumbani kwake asubuhi ya Mei 16, 2025, walioshuhudia wasimulia. Baba mzazi wa Steven, ambaye ni balozi wa nyumba 10 wa CCM pamoja na walioshuhudia tukio hilo, wamesema waliomteka walikuwa…

Read More

Ugonjwa wa Wagonjwa unaweza kuwa ‘Gamechanger’ kwa jamii zilizotengwa, anasema Wakili wa Vijana – Maswala ya Ulimwenguni

Bwana Hassan na madiwani wenzake wa vijana wanashauri na kushiriki kikamilifu na WHO Mkurugenzi Mkuu na uongozi wa juu wa shirika hilo, kubuni na kupanua mipango na mikakati ya wakala. Katika mahojiano na Habari za UN kabla ya 2025 Mkutano wa Afya Ulimwenguni -Mkutano wa juu kabisa wa Afya ya Ulimwenguni-Bwana Hassan, ambaye alizaliwa na…

Read More

Dar City, Pazi BDL kama Simba, Yanga

LICHA ya juzi kuchezwa mechi tofauti za Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) iliyokuwa na mvuto, msisimko na kujaza mashabiki katika viwanja vya  Don Bosco Upanga ni ile iliyohusisha Dar City na Pazi. Timu hizo zina wachezaji mastaa wa ndani na nje mfano Dar City kati ya waliocheza alikuwepo Hasheem Thabeet aliyecheza…

Read More