MADEREVA 800 WAPATIWA MAFUNZO KUELEKEA MSIMU WA UTALIII

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi. KATIKA kuhakikisha msimu wa Utalii (high season) unaoanza hivi karibuni unakuwa katika hali ya amani, Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha limewakutanisha zaidi ya madereva 800 wanaobeba watalii kwa ajili ya kuwapatia mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo pindi wanapotoa huduma hiyo ya usafiri. Akifungua mafunzo…

Read More

Diwani mbaroni ‘utekaji’ wa mbunge, DCI aeleza mazito

Moshi/Nairobi. Sarakasi ya kutekwa kwa mbunge mara baada ya kutoka ibadani kisha kutelekezwa shambani akiwa na majeraha imeendelea kuwa kitendawili baada ya diwani kutiwa mbaroni kwa sakata hilo. Kukamatwa kwa diwani huyo kunafanya idadi ya watu ambao wameshatiwa mbaroni kufikia 10 huku Polisi wakiendelea na utaratibu wa kumfikia mbunge huyo anayedai kulazwa katika Hospitali ya…

Read More

Makipa wazawa upepo sio mzuri

HIKI kizazi cha sasa cha makipa wazawa kilikuwa na mwanzo mzuri kuanzia kipindi cha miaka ya 2010 ambapo wengi walianza kuibuka wakiwa watoto hasa katika timu za vijana za Tanzania. Kilionekana kina vijana ambao watarithi vyema mikoba ya kaka zao kina Juma Kaseja, Shaaban Kado, Ivo Mapunda, Shaaban Dihile, Mwadini Ally na wengineo ambao umri…

Read More

Mechi za ubingwa ZPL kupigwa leo

VITA ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) imekaa kimtego huku mechi mbili zitakazochezwa leo Mei 30, 2025 zimebeba nafasi ya timu kujitengenezea nafasi nzuri. Kwenye Uwanja wa Mao A, Maafande wa Mafunzo watavaana na Muembe Makumbi, huku Mlandege ikitoana jasho na KMKM kwenye Uwanja Mao B, mechi zote zitaanza saa 10 kisiwani Unguja….

Read More

WAKULIMA WA PARACHICHI WAPONGEZA RUZUKU YA MBOLEA

……………. Wakulima wa parachichi mkoani Njombe wameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwapatia mbolea ya ruzuku ambayo imewasaidia kuongeza tija na uzalishaji katika zao hilo. Wakizungumza na wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) walipotembelea Chama cha Msingi cha Ng’anda AMCOS…

Read More

Muasisi wa Chaumma aibua mapya ujio wa G55, Rungwe amjibu

Dar es Salaam. Aliyekuwa kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) na mmoja wa waasisi wake, Eugen Kabendera amedai ujio wa waliokuwa makada wa Chadema kwenye chama hicho, unakwenda kumeza sera za kuanzishwa kwake. Jumanne Mei 27, 2025 Kabendera aliye-dumu kwa miaka 13 katika chama hicho, alitangaza kuondoka ndani Chaumma kuto-kana na tofauti ya…

Read More

Jica yaahidi kuendeleza ushirikiano na Serikali ya Tanzania

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (Jica) limeihakikishia Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa litaendelea kushirikiana nayo katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya wananchi. Hatua hiyo imetokana na namna ambavyo Serikali imekuwa ikisimamia kikamilifu matumizi ya fedha mbalimbali zinazotolewa na wadau wa…

Read More