Hekaya za Mlevi: Viongozi waige uadilifu wa nyuki

Dar es Salaam. Nyuki ni mdudu wa ajabu sana. Kwanza ana mbawa ndogo kulinganisha na mwili wake. Inashangaza jinsi anavyoweza kuzitumia mbawa hizo kuubeba na kusafirisha angani mwili wake mzito. Akiwa nchi kavu na angani hukutana na misukosuko ya ndege, mijusi na vyura wanaomwinda kwa ajili ya kitoweo. Kwa bahati nyuki ameumbwa akiwa na rangi kali…

Read More

Chadema yaitisha Kamati Kuu Mei 21, Baraza Kuu lanukia

Kakola. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inatarajiwa kukutana jijini Dar es Salaam Jumatano Mei 21, 2025. Kikao hicho kimeitishwa kipindi ambacho chama hicho kinapitia misukosuko ikiwemo ya mwenyekiti wake, Tundu Lissu kuwa gerezani akikabiliwa na kesi mbili ya uhaini na ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni. Pia, makada na viongozi wake…

Read More

TUME YA RAIS YA MABORESHO YA KODI YAKUTANA NA TRA

Tume ya Rais ya kukusanya maboresho ya Kodi ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Balozi Maimuna Tarishi leo tarehe 16.05.2025 imekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ukiongozwa na Naibu Kamishna Mkuu Bw. Mcha Hassan Mcha Jijini Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kikao cha pamoja cha kukusanya maoni…

Read More

Dakika 90 ngumu Yanga, JKT

KIKOSI cha Yanga tayari kipo jijini Tanga kwa ajili ya pambano la nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku kocha mkuu wa timu hiyo, Miloud Hamdi akisema wana dakika 90 ngumu dhidi ya JKT Tanzania akirejea kilichowakuta katika mechi ya mwishoni katika Ligi Kuu Bara. Yanga na maafande hao wa JKT zitavaana kwenye Uwanja…

Read More

Wakimbizi wa Bhutanese waliowafukuza watu wa Bhutanese wanalia – ‘nchi ili kuita nyumbani’ – Maswala ya Ulimwenguni

Deportee kutoka Merika, Aasis Subedi, na baba yake, Narayan Kumar Subedi. Mikopo: Diwash Gahatraj/IPS na diwash gahatraj (Jhapa, Nepal) Ijumaa, Mei 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari JHAPA, Nepal, Mei 16 (IPS) – Ameketi katika kibanda chake kidogo katika kambi ya wakimbizi ya Beldangi wilayani Jhapa, Nepal, Narayan Kumar Subedi anahisi kutuliza kwamba mtoto…

Read More

Fainali ya kibabe, Ahoua, Kibu kazi kwao

BADO saa chache kabla ya Simba kushuka uwanjani kuvaana na RS Berkane ya Morocco kwenye pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku washambuliaji wawili wanaoongoza kwa mabao kikosini Jean Charles Ahoua na Kibu Denis wakiwa na kazi mbili muhimu leo. Nyota hao kila mmoja ana mabao matatu wakichuana na wengine kadhaa…

Read More

Jinsi mikoko huokoa maisha, maisha ya jamii za pwani za Bangladesh – maswala ya ulimwengu

Mikoko mpya imeundwa katika maeneo mbali mbali ili kupunguza hatari za mabadiliko ya hali ya hewa katika kijiji cha Badamtoli cha Dakop Upazila (wilaya ndogo) ya wilaya ya Khulna. Mikopo: Rafiqul Islam Montu/IPS na Rafiqul Islam Montu (Shyamnagar, Bangladesh) Ijumaa, Mei 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Shyamnagar, Bangladesh, Mei 16 (IPS) – Golenur…

Read More