TIC yawafunulia fursa za uwekezaji wafanyabiashara Kariakoo

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri amewataka Watanzania kuwekeza kupitia kituo hicho kwani kuna fursa kubwa kwao ambazo zitachochea uwekezaji wao. Teri amebainisha hayo leo Mei 16, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akitoa semina kwa wafanyabiashara wa Kariakoo kwa lengo la kuwaonyesha fursa zilizo mbele yao endapo…

Read More

ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4

• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote • Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano • Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kupelekewa taarifa kamili za wasimamizi na mshauri elekezi wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Nne baada ya…

Read More

Ulega aagiza uchunguzi mshauri mradi wa BRT

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango wa kuitisha uchunguzi dhidi ya mshauri elekezi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya nne – LOT 4(1), unaohusisha kipande cha barabara cha Posta hadi Daraja la Kijazi (kilometa 13.5), kufuatia ucheleweshaji wa utekelezaji na uchimbaji usio na mpangilio unaoendelea katika maeneo mbalimbali….

Read More

Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo

IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ya moto. Timiza ndoto zako na Meridianbet sasa. EPL leo hii kuna mechi mbili za pesa ambapo mechi za mapema kabisa ni hii ya Aston Villa dhidi…

Read More