Wizara kutumia Sh277.04 bilioni kuboresha mawasiliano nchini
Dodoma. Bunge limeidhinisha Sh277.04 bilioni kwa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa miradi ya maendeleo, ndani yake zikiwamo Sh73 bilioni zitakazotumika katika ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, ambao ni nguzo muhimu katika kukuza na kuboresha teknolojia ya habari na mawasiliano nchini. Jumla ya fedha za Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya…