Wanamaombi waaga mwili wa Padri Nkwera, kuzikwa kesho
Dar es Salaam. Mamia ya waumini wa kituo cha sala na maombezi cha Mama Bikira Maria (Marian Faith Healing), kilichokuwa kikiongozwa na Padri Felician Nkwera (89), walijitokeza jana katika misa na kuuaga mwili wa kiongozi huyo, shughuli iliyotawaliwa na vigelegele vikiambatana na vilio. Padri Nkwera ambaye muasisi wa kituo hicho alifariki dunia Mei 8, 2025…