Fabrice Ngoma ndiye gumzo Morocco

KWA huko nyumbani Tanzania, mashabiki wa Simba huwaambii kitu kwa winga, Ellie Mpanzu Kibisawala kutokana na namna alivyoteka hisia zao tangu alipojiunga na timu hiyo katika dirisha dogo la usajili la Januari. Hata hivyo, mambo ni tofauti baada ya timu hiyo kuja Morocco, kwani mashabiki wengi wa soka hapa licha ya kuifahamu Simba, mchezaji anayejulikana…

Read More

Simba yampigia hesabu kipa Berkane

Kocha wa Simba, Fadlu Davids amesema wamejipanga kikamilifu kuikabili RS Berkane katika mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu, kesho Jumamosi. Davids amesema kuwa wameifanyia Berkane tathmini ya kina kama timu na kwa wachezaji wake – mmoja mmoja. Katika tathmini hiyo ya wachezaji mmoja mmoja wa Berkane, Simba imeamua kushughulika…

Read More

Lori lapata ajali, wananchi wafurika kuchota mafuta

Dar es Salaam. Lori la mafuta mali ya kampuni ya Lake limepata ajali na kupinduka eneo la Mbwewe, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, huku baadhi ya wananchi wakifika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta yaliyokuwa yakivuja kwenye tenki la lori hilo. Kipande cha video kilichosambaa kwenye mitandao ya kijamii kinaonyesha watu waliobeba madumu wakichota…

Read More

Bazecha watoa msimamo mtikisiko wa kisiasa Chadema

Dar es Salaam. Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha) limesema licha ya hamahama ya baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho, uimara wa Chadema sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote. Baraza hilo limetafsiri hatua ya baadhi ya makada wa chama kujivua nyadhifa zao na kuondoka kama hatua mojawapo inayopitiwa na bahari kutema uchafu….

Read More