Tanzania yajipanga, WHO ikipunguza idara, watumishi
Dar es Salaam. Wakati Shirika la Afya Duniani (WHO) likipunguza idara zake kutoka 76 hadi 34 na gharama za wafanyakazi kwa asilimia 25 baada ya ufadhili kupungua, Tanzania imeanza kujipanga kukabiliana na hatua hiyo. WHO imechukua hatua hiyo ikiwa takribani miezi minne baada ya Marekani kutangaza kujiondoa katika shirika hilo na kusitisha ufadhili wake. Mkurugenzi…