WANAFUNZI SHULE YA MSINGI KIBUGUMO WASHIRIKI ‘MAHAKAMA KIFANI YA WATOTO’ IKIWA NI SEHEMU YA KAMPENI YA USALAMA BARABARANI
Katika kuadhimisha Wiki ya Usalama Barabarani Duniani (May 12 – 18, 2025), kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika la Amend Tanzania wameendesha ‘Mahakama Kifani ya Watoto’ kuhusu usalama barabarani tukio ambalo ni sehemu muhimu ya programu ya kampeni ya elimu ya usalama barabarani kwa shule za msingi ambayo pia inajulikana kama ‘Be…