Vita ulaji vyakula vya asili na vya kisasa janga jipya

Dar es Salaam. Katika miji yenye shughuli nyingi kama Dar es Salaam, Lagos  Nairobi na mingineyo barani Afrika, harufu ya vyakula vya haraka na vilivyosindikwa ( junk foods) inashindana na pengine hata kuzidi harufu ya vyakula vya jadi vinavyopikwa na wauzaji wa mitaani. Afrika, bara lenye urithi tajiri wa upishi, linashuhudia mabadiliko makubwa ya lishe,  ambayo sasa…

Read More

Madhara ya tumbaku kwa wanaoishi na kisukari

Dar es Salaam. Kwa mtu anayeishi na kisukari, kila uamuzi kuhusu mtindo wa maisha una uzito wa kiafya. Mojawapo ya maeneo ya uamuzi  ni matumizi ya tumbaku. Huenda wengine wakadhani kuwa tumbaku inaathiri mapafu tu, lakini ukweli ni kwamba kwa mtu mwenye kisukari, tumbaku huathiri kila kona ya mwili, kutoka kwenye mishipa ya damu, hadi…

Read More

Vita ulaji vyakula vya asili na vya kisasa

Dar es Salaam. Katika miji yenye shughuli nyingi kama Dar es Salaam, Lagos  Nairobi na mingineyo barani Afrika, harufu ya vyakula vya haraka na vilivyosindikwa ( junk foods) inashindana na pengine hata kuzidi   harufu ya vyakula vya jadi vinavyopikwa na wauzaji wa mitaani. Afrika, bara lenye urithi tajiri wa upishi, linashuhudia mabadiliko makubwa ya lishe,  ambayo…

Read More

Usasa unavyoleta janga la lishe duni vijijini

Kigoma. Michael Mbago (61) ni miongoni mwa wazee wanaoumizwa na ulegevu wa vijana wa sasa,  ikiwa ni matokeo ya kula vyakula ambavyo havina tija kwa afya zao. Anasema miaka ya nyuma changamoto hiyo ilikuwa inaonekana zaidi mijini lakini kutokana na utandawazi siku hizi hata vijijini kuna kundi kubwa la watu ambao wana changamoto ya lishe….

Read More

Marufuku ya sigara maeneo ya umma mfupa mgumu

Arusha. Licha ya Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ya mwaka 2003 kukataza uvutaji wa sigara hadharani, sheria hiyo imeendelea kukiukwa kutokana na uwepo wa watu wanaovuta sigara katika maeneo ya umma. Mbali na uvutaji huo wa sigara hadharani uchunguzi uliofanywa na Mwananchi umebaini kuwa katika maeneo mengi hakuna mabango ya kuzuia. Sheria hiyo imezuia matangazo…

Read More

Mwanaharakati wa hali ya hewa ya Tajik anawasihi viongozi kujumuisha sauti za vijana katika mazungumzo – maswala ya ulimwengu

Mwisho wa Aprili, Fariza Dzhobirova alihudhuria mkutano wa Model United Mataifa juu ya utunzaji wa barafu katika mji mkuu wa Tajikistan, Dushanbe, ambapo aliwakilisha Uswizi. Kwa Bi Dzhobirova, ilikuwa mazoezi ya aina kwa kiwango halisi cha juuMkutano juu ya uhifadhi wa barafu ambao ulianza Alhamisi huko Dushanbe. Huko, atatumika kama mwanachama wa jopo anayewakilisha nchi…

Read More

Coastal Union yampigia hesabu kocha Tabora United

COASTAL Union inapiga hesabu kali za kumchukua aliyekuwa kocha wa Tabora United, Anicet Kiazayidi kushika nafasi ya Joseph Lazaro msimu ujao. Timu hiyo awali ilikuwa ikifundishwa na Juma Mwambusi, aliyeondolewa kutokana na matokeo mabaya ambayo klabu hiyo ilikuwa ikiyapata. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Coastal, kiliiambia Mwanaspoti, mipango ya klabu hiyo sasa ni kumchukua…

Read More

Kagoma, Mwenda kumuenzi James Bwire

KIUNGO wa Simba, Yusuf Kagoma na beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda ni miongoni mwa wachezaji waliothibitisha kushiriki tamasha la Alliance Day litakalotumika kumuenzi aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, James Bwire aliyefariki dunia mapema mwaka huu. Uongozi wa kituo hicho cha michezo cha Alliance kilichopo jijini hapa umetangaza ujio wa tamasha hilo ili…

Read More

Yanga ni Mokwena au Mfaransa

MABOSI wa Yanga, wameendelea kufanya yao kimyakimya katika mchakato wa kusaka kocha atakayepewa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao huku zoezi hilo likichukua sura mpya baada ya kuamua kuliongeza jina la kocha mmoja kutoka nyumba ya vipaji raia wa Ufaransa. Yanga ipo katika mipango ya kutemana na Miloud Hamdi anayeionoa kwa sasa ambaye…

Read More