Raphael Kinda anayesaka Sh2milioni kujitibu

Masahibu ya majeraha kama haya yamewakumba wachezaji wengi, ambapo yupo pia kinda mwenye kipaji kikubwa ndani ya Singida Black Stars, Helman Raphael  ambaye anapambana na majeraha makubwa ya kuchanika nyama za paja. Raphael ambaye kabla ya kujiunga na Singida alikuwa akiwania na klabu mbalimbali kutokana na kipaji chake, ameshindwa kuwa na maisha mazuri ndani ya…

Read More

Bajaji, pikipiki vinara kutumia nishati ya umeme

Dar es Salaam. Ripoti ya mwaka 2023 kutoka Africa E-Mobility Alliance (AfEMA) imebainisha ongezeko la idadi ya kampuni na wajasiriamali wanaoingia katika soko la magari ya umeme nchini Tanzania. Ripoti hiyo ilionyesha pikipiki na vyombo vya usafiri vya magurudumu matatu (bajaji) vinavyoongoza kwa kuunganishwa na mifumo ya umeme. Tanzania inaendelea kupiga hatua katika matumizi ya…

Read More

NCC YAJA NA MFUMO KUSAIDIA SEKTA YA UJENZI

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akifungua mkutano wa mashauriano na wadau wa sekta ya ujenzi ambayo imefanyika leo jijini Dar es salaam. Mhandisi Tumaini Lemunge kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) akiwasilisha mada  katika mkutano wa mashauriano na wadau wa sekta ya ujenzi ambao umefanyika leo jijini Dar es salaam . Baadhi ya washiriki…

Read More

Rais Stubb apigia chapuo ubunifu

Dar es Salaam. Rais wa Finland, Alexander Stubb, ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kurejea upya dhana ya ubunifu, akisisitiza kuwa ubunifu haupaswi kuangaliwa kama suala la kiteknolojia pekee bali kama chombo chenye uwezo wa kuleta mabadiliko ya kijamii. Akizungumza leo Alhamisi Mei 15, 2025 jijini Dar es Salaam, katika Wiki ya Ubunifu, Rais Stubb…

Read More

CCM kutia mguu kila eneo walilopita Chadema, wakidai kutenganisha maji na mafuta

Morogoro. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema maeneo yote ambayo viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamepita kufanya mikutano nao watapita humohumo. Makalla alieleza hayo leo Alhamisi Mei 15,2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Kilosa Town ikiwa ni sehemu ya kumalizia…

Read More

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Tanzania Yawezesha Mamlaka ya Masoko ya Mitaji Burundi Kupata Mafunzo ya Kitaalamu Yanayotambulika Kimataifa

Katika azima ya ushirikiano wa Mamlaka za Usimamizi wa Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki (EASRA), Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewezesha wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Masoko ya Mitaji (ARMC) na wataalamu wa masoko ya mitaji kutoka Jamhuri ya Burundi kushiriki kwa mafanikio kwenye programu…

Read More