Kahama Sixers, Risasi vita nzito Shinyanga

Kahama Sixers na Risasi zinatarajiwa kucheza Jumapili mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Mkoa wa Shinyanga. Katika fainali ya mwaka jana, Kahama Sixers iliishinda Risasi michezo 2-1 na katika mchezo wa kwanza ilishinda pointi 67-62. mchezo wa pili, Risasi ilishinda kwa pointi 102-100, huku Kahama Sixers ikishinda katika mchezo wa tatu kwa pointi 87-60. Kamishina…

Read More

KMC impe imani Mbwana atawabeba

WAKATI KMC inaamua kufikia makubaliano ya kuachana na Kocha Kally Ongala, wasiwasi mkubwa ulitanda hapa kijiweni tukifikiria hatima ya timu hiyo. Maana kocha Kally aliondoka huku timu hiyo ikiwa imebakiza mechi nne ngumu huku ikiwa haipo katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu maana ilikuwa nafasi ya 11. Maana yake ingefanya vibaya katika mechi…

Read More

Baada ya Vijana kuifinya Savio UDSM, Stein kazi ipo

KIWANGO cha chini kilichoonyeshwa na Savio kilisababisha ifungwe na Vijana ‘City Bulls’ kwa pointi 70-50, katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam inayofanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga. Savio iliyowahi kuwa bingwa wa  ligi hiyo ya BDL 2015, 2016, 2017, 2018 na 2021, ilishindwa kuonyesha makali yao kama ilivyozoeleka. Katika mchezo huo, ilionekana haijajianda vizuri…

Read More

RC KATAVI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA UMEME TABORA

  Picha za miundombinu  ya Mradi wa Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovolti 132 kutoka Tabora hadi Katavi unaotekelezwa na Kampuni ya ETDCO  Mkoa wa  Tabora  hadi Katavi. ……. Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, ameridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovolti 132 kutoka Tabora hadi Katavi, unaotekelezwa…

Read More

BILION 20 ZA WEKEZWA KATIKA KIWANDA CHA WANGA NA GLUKOSI

::::::: Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara imewekeza bilion ishirini katika kiwanda cha uzalishaji wanga na glukosi ya maji huko mkoani mbeya. Haya yameelezwa leo 15 may 2025 jijini Dodoma na waziri wa viwanda na biashara Seleman Jaffo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika kueleza mafanikio ya wazara hiyo kwa kipindi cha miaka…

Read More

Devotha Minja atangaza kujiondoa Chadema akisema, ‘hakuna kushusha silaha chini’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati, Devotha Minja ametangaza kujiondoa ndani ya chama hicho akisema: “Aluta kontinua, hakuna kushusha silaha chini, mapambano yaendelee.” Minja ambaye amewahi kuwa mbunge wa viti maalumu kupitia chama hicho  (2015-2020) ametangaza uamuzi huo leo Alhamisi, Mei 15, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari…

Read More