Wasauzi wawafuata Diarra, Mutale | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, Jumatano wiki hii alikuwa jukwaani KMC Complex, jijini Dar es Salaam ili kushuhudia kiporo cha Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Singida BS, ikiwa ni saa chache tangu atoke kuwasilisha ripoti ya usajili ya timu hiyo akitaka kuboresha kikosi kwa msimu ujao. Lengo kuu la Nabi kuwa…

Read More

Simba yaanza kufyeka hawa | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wanaendelea kuchekelea ushindi wa 23 kwa msimu huu katika Ligi Kuu kwa kuilaza Singida Black Stars, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza kufanya maboresho ya kikosi hicho kimya kimya, ikiwemo kujiandaa kutembeza panga kwa baadhi ya mastaa na kuleta majembe mapya. Simba inashika nafasi ya pili kwa sasa katika msimamo ikiwa na…

Read More

Mfanyie Haya Mpenzi Wako Penzi Lidumu – Global Publishers

KATIKA mapenzi kuna vitu vingi unaweza kumfanyia mpenzi wako ukamfurahisha na kumfanya azidishe mapenzi kwako. Katika safu hii leo nitazungumzia mambo machache muhimu yatakayokusaidia kuboresha nakudumisha penzi lako kwa umpendaye. Mahusiano ya kimapenzi ni safari moja kubwa sana katika maisha. Safari hii imejaa mabonde na milima kila aina, kuna nyakati za furaha , hasira, huzuni.n.k…

Read More

Njaa ya kukata tamaa inasababisha umati wa watu dhoruba ya chakula cha UN huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Mawakala wa UN wanaonya kuwa enclave iliyoachwa inaangazia ukingo wa machafuko zaidi baada ya miezi ya vita na kuanguka kwa huduma zote muhimu. Tukio hilo lilitokea WFPKituo cha al-Ghafari huko Deir al-Balah, ambapo hisa ndogo za unga wa ngano zilikuwa zimewekwa tayari kutumiwa na mkate wa mkate ambao umeweza kuanza tena shughuli. Matokeo mabaya Corne…

Read More

SERIKALI YAMPONGEZA MWL BHOKE KINARA UPISHI NA UPAMBAJI GEITA

………………. Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imempongeza Bhoke Kisigiro, kwa kuibuka mshindi wa kwanza katika tuzo ya mpishi na mpambaji bora wa keki 2025 iliyotolewa na “Geita Women Festival (GWF) huku watumishi wengine wakihimizwa kufanya shughuli za ziada za kuwaingizia kipato baada ya muda wa kazi. Bhoke ambaye kitaaluma ni mwalimu,…

Read More

TAKUKURU KINONDONI YABAINI MAPUNGUFU KWENYE MIRADI

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni Christian Nyakizee akizungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025 …………… TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni imefuatilia miradi…

Read More

ACT yawashtakia wabunge kamati ya maadili 

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Ofisi ya Spika wa Bunge la Tanzania kuwajibika kwa kuwaita na kuwahoji wabunge katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kufuatia kauli zilizotolewa na baadhi yao kutozingatia maadili ya uongozi, utu wala heshima ya chombo hicho muhimu cha kutunga sheria. Kwa mujibu wa chama hicho,…

Read More