KOCHA Mkuu wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, Jumatano wiki hii alikuwa jukwaani KMC Complex, jijini Dar es Salaam ili kushuhudia kiporo cha Ligi Kuu Bara
Month: May 2025

MASHABIKI wa Simba wanaendelea kuchekelea ushindi wa 23 kwa msimu huu katika Ligi Kuu kwa kuilaza Singida Black Stars, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza

KATIKA mapenzi kuna vitu vingi unaweza kumfanyia mpenzi wako ukamfurahisha na kumfanya azidishe mapenzi kwako. Katika safu hii leo nitazungumzia mambo machache muhimu yatakayokusaidia kuboresha

Mawakala wa UN wanaonya kuwa enclave iliyoachwa inaangazia ukingo wa machafuko zaidi baada ya miezi ya vita na kuanguka kwa huduma zote muhimu. Tukio hilo

………………. Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imempongeza Bhoke Kisigiro, kwa kuibuka mshindi wa kwanza katika tuzo ya mpishi na mpambaji bora

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv INGAWA kazi ni nguzo muhimu ya ustawi wa maisha ya binadamu, haitakuwa na maana endapo itaambatana na madhara ya kiafya

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni Christian Nyakizee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati

Maoni Na Isabel Ortiz – Odile Frank – Gabriele Koehler (Geneva / New York) Alhamisi, Mei 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Geneva /

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Ofisi ya Spika wa Bunge la Tanzania kuwajibika kwa kuwaita na kuwahoji wabunge katika Kamati ya Haki,

Iringa. Watu wawili wameteketea kwa moto na kubaki majivu baada ya ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso na baadaye kushika