JESHI LA POLISI MWANZA LAPOKEA MAGARI MATANO KWA AJILI YA DORIA NA KAZI NYINGINE
****** Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Wilbrod Mutafugwa, amekabidhi magari matano aina ya Toyota Land Cruiser kwa wakuu wa polisi wa wilaya za Kwimba, Magu, Misungwi, Ilemela, na Nyamagana. Magari hayo yametolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camillus Wambura, ikiwa ni…