PURA, EPRA zabadilishana uzoefu udhibiti wa mafuta, gesi asilia
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya nchini Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli (EPRA) ya nchini Kenya zimekutana kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa udhibiti wa shughuli za utafutaji, uendelezaji na uzalishaji wa mafuta na gesi asilia. Mamlaka hizo zimekutana Jijini Dar es Salaam Mei 12 na 13,…