Utapeli wa ‘tuma kwenye namba hii’ unavyoshika kasi

Dar/Moshi. Nani wanasajili laini hizi kwa alama za vidole? ni swali ambalo Watanzania wengi wanajiuliza kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya utapeli mitandaoni, huku meseji za ‘tuma kwenye namba hii,’ zikiongezeka kwa kasi. Malalamiko ya wananchi wanaomiliki simu za kiganjani kupokea meseji za aina hiyo kila uchao yanasikika kutoka kusini hadi kaskazini mwa Tanzania na magharibi…

Read More

Janga la asili ambalo limeathiri watu wengi ulimwenguni kuliko maswala mengine yoyote ya ulimwengu

Mifugo mashariki mwa Mauritania inakufa kwa sababu ya ukame. Mikopo: UNHCR/Caroline Irby Maoni na Danielle Nierenberg (Baltimore, Maryland) Jumatano, Mei 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BALTIMORE, Maryland, Mei 14 (IPS) – Hapa kuna swali: Katika miaka 40 iliyopita, ni janga gani la asili ambalo limeathiri watu wengi kote ulimwenguni kuliko nyingine yoyote? Jibu,…

Read More

FEDHA ZA CSR ZA BARRICK BULYANHULU KUENDELEA KUFANIKISHA MIRADI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG’HWALE

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne (kushoto) akibadilishana mkataba na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nyang’hwale, John Isack. John (kulia) ambapo mgodi utatoa kiasi cha shilingi bilioni 1.07 kutekeleza miradi ya CSR mwaka huu, wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Nyang’hwale, Ezekiel Ntiriyo na (katikati) ni Katibu Tawala wa wilaya…

Read More

Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Ivory Coast

Dar es Salaam. Waziri MKuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwa mwenyeji wake, Boulevard Angoulvant Plateau, jijini Abidjan. Akitoa ufafanuzi baada ya kikao hicho jana jioni Jumanne, Mei 13, 2025, Waziri Mkuu Majaliwa…

Read More

Wajitokeza kumuaga Charles Hilary Unguja

Unguja. Licha ya mvua kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mjini Unguja, wananchi na viongozi kutoka sehemu mbalimbali wamejitokeza kwa wingi katika eneo la Kisonge kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, marehemu Charles Hilary. Shughuli hiyo ya kutoa heshima…

Read More