Wataalamu Tari watakiwa kusimamia mpunga, mazao ya mbogamboga
Mtwara. Wataalamu kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo (Tari Naliendele) mkoani Mtwara wametakiwa kusimamia mazao mengine kama mpunga, karanga, mahindi, na mazao ya mbogamboga ili kusaidia kuinua uchumi wa wananchi wa Mtwara. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Judithi Nguli ametoa wito huo leo Mei 13, 2025, wakati akifunga mafunzo ya maadili kwa wafanyakazi wa Kituo…