Chadema yamjibu Msajili sakata la uteuzi
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kikisema hakitabadilisha chochote katika maelekezo waliyopewa na ofisi hiyo, kwa maelezo kuwa walishafunga mjadala kuhusu kikao cha Baraza Kuu. Msimamo huo wa Chadema umekuja baada ya jana Jumatatu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kutengua uteuzi wa wajumbe wanane…