Polisi yatoa sababu kumshikilia Golugwa wa Chadema
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linamshikilia Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-bara, Aman Golugwa kwa uchunguzi wa tuhuma za kusafiri kwa siri kwenda na kurudi nje ya Tanzania. Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa mchana wa leo Jumanne, Mei 13, 2025 imesema Golugwa amekamatwa saa 6:45 usiku Uwanja wa…